Makao makuu CHADEMA 'chini ya ulinzi'

Makao makuu CHADEMA 'chini ya ulinzi'

Hilo ni swali la kipuuzi sana,Makao makuu ya chama yapo pale inakuwaje mtaa uangukie Upinzani?Mtaendelea kutetea udhaifu wa viongozi wenu hadi lini?

Akili inayoshindwa kulipambanua hili swali ndo ya kipuuzi, hebu jiulize inakuwaje magogoni kuna harufu mbaya wakati ni jirani na ikulu! Au inakuwaje nchi hii ni maskini wakati kuna kila kitu. Hii haisababishwi na viongozi pekee bali wananchi wenyewe. Ni wajinga wanaendelea kuwaweka madarakani wezi, hata pale kunakuwepo ushahidi. Sasa ulitaka CDM au viongozi wajipigie kura ili washinde!!

Inakuwaje mtu anaacha kanisa XX lilopo mtaani kwake anapanda daladala au kuchoma mafuta kwenda kanisa BB lilopo mtaa wa mbali? Je, ni kwa sababu wachungaji wa kanisa XX ni wazembe? Kweli great thinker hawapo tena JF.
 
Siku hizi posts za kitoto ni nyingi kucompare na zamani..i remember jf of 2010-2012..but leo watoto wa lumumba wametumwa kuchafua hewa humu
 
Akili inayoshindwa kulipambanua hili swali ndo ya kipuuzi, hebu jiulize inakuwaje magogoni kuna harufu mbaya wakati ni jirani na ikulu! Au inakuwaje nchi hii ni maskini wakati kuna kila kitu. Hii haisababishwi na viongozi pekee bali wananchi wenyewe. Ni wajinga wanaendelea kuwaweka madarakani wezi, hata pale kunakuwepo ushahidi. Sasa ulitaka CDM au viongozi wajipigie kura ili washinde!!

Inakuwaje mtu anaacha kanisa XX lilopo mtaani kwake anapanda daladala au kuchoma mafuta kwenda kanisa BB lilopo mtaa wa mbali? Je, ni kwa sababu wachungaji wa kanisa XX ni wazembe? Kweli great thinker hawapo tena JF.

Ndoo maaana tunawashangaa wanaotaka eti lowassa ndoo habari ya mjini 2015 wamesahau yote aliyofanya wakati wa tanu mpaka baba wa taifa kumpa adhabu ya mwaka mzima istoshe karudia tena miaka ya 2000 akataifisha eneo la uvccm na kujenga nyumba yake kali ndooo maana mwalim hakutaka kabisa kuiona sula ile mpaka sokoine alipompigia magoti kuomba amsamehe lowasa pamoja na jk na alipelekwa mtwara akamwokoa mwinyi.
 
Hilo ni swali la kipuuzi sana,Makao makuu ya chama yapo pale inakuwaje mtaa uangukie Upinzani?Mtaendelea kutetea udhaifu wa viongozi wenu hadi lini?

Hivi Magogoni ipo chini ya mbunge yupi? Teh teh teh teh
 
Back
Top Bottom