Makao makuu CHADEMA 'chini ya ulinzi'

Makao makuu CHADEMA 'chini ya ulinzi'

Hata pale ikulu ya Mwanza kuanzia wa kitongoji mpk mtaa m/Kitu ni CD, itabd kila mkulu anapoingia watoe taarifa kwanza kwa m/kiti wetu
Tayari wakuu mmesha sahau hapa Iringa mtaa wa sabasaba yalipo makao makuu ya ccm ya wilaya na nyumbani kwa kada maarufu na kamanda wa vijana wa ccm tena mwarabu na mkwe wa tezi dume yapo chini ya cdm.Isitoshe hata makao makuu ya mkoa hapa Iringa mtaa wa makorongoni yapo chini ya cdm.nadhani hilo gazeti la uhuru wanajifariji baada ya msiba mkuu ambao haujawahi na wala hawakuwaza wala kufikiri kama ungetokea
 
Kizota Dodoma kuwa chini ya CDM hiyo imekaaje? Makazi ya Waziri Mkuu huko Chanika kuwa chini ya CDM ikoje?

.

Ni kweli kuwa Kizota ipo chini ya Chadema? Basi hii thread ni ya kufunga!
 
No mpuuzi tu ndo aweza kushangilia hicho unachokiita wonderful, hapo unamaanisha ni kana muujiza ccm kushinda,Hakka chadema ni ngoma nzito!!!
 
Nyie mngeshinda mtaa wa lumumba si mngejaza sever hapa, kupata izo 28% imekuwa balaa.

mie huwaga najiuliza kila kila siku ,kinacho pungua na kinnacho ongezeka kipi kinacho kua??? Maana nyie vichomi vya ccm huwa siwaelewi elewi pale mnapo shangilia kuporomika kwenu.
 
Code:
Hivi ndivo linavosomeka gazeti la Uhuru no baada ya serikali ya mtaa yalipo makao makuu CHADEMA kugalagazwa vibaya na hivyo mahitaji ya CHADEMA makao makuu mtaani lazima wafike ofisi za mtaa za CCM.

wonderful
safi sana
 
hizi ndo hasara za kunywa gongo asubuhi gazeti la uhuru mpelekee mkeo akafungie vitumbua.
 
Nchi haijengwi kwa matusi kejeli na majigambo.vyama vitapita lkn tz itabaki milele
 
Kwani awali huu mtaa ulikuwa chini ya chama gani? Si ni nyie misisiem mlikuwepo hapo siku zote.

Hilo ni swali la kipuuzi sana,Makao makuu ya chama yapo pale inakuwaje mtaa uangukie Upinzani?Mtaendelea kutetea udhaifu wa viongozi wenu hadi lini?
 
Hivi ndivo linavosomeka gazeti la Uhuru no baada ya serikali ya mtaa yalipo makao makuu CHADEMA kugalagazwa vibaya na hivyo mahitaji ya CHADEMA makao makuu mtaani lazima wafike ofisi za mtaa za CCM.

wonderful

ikulu ya raisi Mwanza ipo chini ya CDM
 
Hivi ndivo linavosomeka gazeti la Uhuru no baada ya serikali ya mtaa yalipo makao makuu CHADEMA kugalagazwa vibaya na hivyo mahitaji ya CHADEMA makao makuu mtaani lazima wafike ofisi za mtaa za CCM.

wonderful

Nyumba za Mawaziri zipo chini ya mbunge gani na jimbo lipi?
 
Lini tena zimekuwa 28%, siyo 10% tena??

Tutaheshimiana tu. Hasira za Herode!.

Izo 28% ndo mlizopata 2010 Mkadanganywa eti zingine zimeibiwa, TWAWEZA walipotoa takwimu zinazokaribiana na hizo mkadai wametumiwa, Ila tunashukuru mmeanza kukua maana haya matokeo mmeyakubali.
Hata 2015 Mtakuja na Story kuwa Kura zenu zimeongezeka badala ya ushindi.
 
Sijui hata ulichotaka kusema nini. Sikuelewi.

Hofu ya Herode!.


Izo 28% ndo mlizopata 2010 Mkadanganywa eti zingine zimeibiwa, TWAWEZA walipotoa takwimu zinazokaribiana na hizo mkadai wametumiwa, Ila tunashukuru mmeanza kukua maana haya matokeo mmeyakubali.
Hata 2015 Mtakuja na Story kuwa Kura zenu zimeongezeka badala ya ushindi.
 
Kaeni kwa amani siku zote za maisha yenu! Matusi, majigambo na kejeli havijengi nchi. Tuitazame nchi yetu kwa mawanda mapana sana ili pale inapotokea issue ya kitaifa tuijadili na kupata majibu bila kujali itikadi zero za vyama vya siasa. CCM, CDM, NCCR, TLP, CUF n.k vitakwisha lakini Watanzania hawataisha!

well said
 
Back
Top Bottom