assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,909
- 4,057
Hivi ndivo linavosomeka gazeti la Uhuru no baada ya serikali ya mtaa yalipo makao makuu CHADEMA kugalagazwa vibaya na hivyo mahitaji ya CHADEMA makao makuu mtaani lazima wafike ofisi za mtaa za CCM.
wonderful
wonderful