Cool
Senior Member
- Aug 5, 2009
- 109
- 46
Kwa habari nilizonazo, ni kwamba kuna kundi la watu wanasemekana ni waislamu wenye msimamo mkali wamepiga kambi maeneo ya Chuo kikuu huko Changanyikeni kwa ajili ya kufanya matukio kama yale ya Mbagala na sehemu zingine. Kuweni macho, ......(tafadhali msipuuze)
Source.. Mimi mwenyewe
Source.. Mimi mwenyewe