Huu ni utumiaji mkubwa wa rasilimali za taifa....najiulizaga sijui watu wanafikiria kwakutumia nini......wakianza kuyalinda makanisa then kesho GULIO likishambuliwa wanatuambia Magulio yote yataanza lindwa na polisi???
hiyo ndo kazi ya jeshi la police kuhahakikisha usalama wa raia...