Pdidy
Platinum Member
- Nov 22, 2007
- 61,675
- 37,856
Aliekuwa makamu wa rais wa zambia kiPIndi cha rais rupia banda
george kunda amefariki dunia ..kunda alifariki jumatatu hospital ya lussaka
amabako alikuwa amelazwa kwa siku tatu.....kunda ambae ni mwanasheria aliteuliwa
2001 kama makamu wa raisi bada ya kumalizika uchaguzi mkuu
alikuwa na sifa ya kukosoa serikali iliopo madarakani na kusisitiz akuwajali wananchi
wakati wa kifo chake alikuwa mwanachama wa kuchaguliwa wa chama chake jimbo
la muchinga
kunda ameacha mke mmoja wa ndoa na watoto wa nne wa ndoa
bwana ametoa bwana ametwaa jina la bwana libarikiwe
raha ya milele umpee ee bwana na mwanga wa milele umwangazie apumzike kwa amani
amen
george kunda amefariki dunia ..kunda alifariki jumatatu hospital ya lussaka
amabako alikuwa amelazwa kwa siku tatu.....kunda ambae ni mwanasheria aliteuliwa
2001 kama makamu wa raisi bada ya kumalizika uchaguzi mkuu
alikuwa na sifa ya kukosoa serikali iliopo madarakani na kusisitiz akuwajali wananchi
wakati wa kifo chake alikuwa mwanachama wa kuchaguliwa wa chama chake jimbo
la muchinga
kunda ameacha mke mmoja wa ndoa na watoto wa nne wa ndoa
bwana ametoa bwana ametwaa jina la bwana libarikiwe
raha ya milele umpee ee bwana na mwanga wa milele umwangazie apumzike kwa amani
amen