Changes gani zimetokea kwa kurekodi watu na kupeleka mahakamani?Sasa change gani zimetokea mpaka sasa kwa hiyo immediate reaction unayosema?
Hizi ni enzi za serikali isiyopangiwa.
Unamfahamu? Au mshirika?Acha majungu na kuchafua watu wewe. Hii ni awamu ya kupiga kazi wewe unaleta majungu.
Kama hazijatokea, hilo halimaanishi change zimetokea kwa kutorekodi.Changes gani zimetokea kwa kurekodi watu na kupeleka mahakamani?
Andika I was .... siyo was ....Was just kidding, lakini tumeliona kwa yule DC aliyepandishwa cheo kuwa RC baada ya video za kutoa rushwa kuwa released.
Andika I was .... siyo was ....
Grammatically dead!
Kuna mtu kanionya uwezo wa Al-Watan, Nimesema leo nafundisha kindergarten.nipo hapa kushuhudia mtanange
Wewe mwenyewe unahitaji kurudi kujifunza huko unakosema unafundisha.Kuna mtu kanionya uwezo wa Al-Watan, Nimesema leo nafundisha kindergarten.
nimesha chukua kamusi hapa kwa ajili ya kujifunzaWewe mwenyewe unahitaji kurudi kujifunza huko unakosema unafundisha.
Do not flattwr yourself, it shows your obtuse thinking.
Nakuaminia! Si unajua jamaa amekuja na maneno magumu kweli kweli, utadhani la nane la zamani.nimesha chukua kamusi hapa kwa ajili ya kujifunza
Ha haa umenikumbusha mbaali ulipoandika darasa la nane la zamani na masifa yao ya kuzungumza kizunguNakuaminia! Si unajua jamaa amekuja na maneno magumu kweli kweli, utadhani la nane la zamani.