Makambako: Gari la Polisi lapinduka

Makambako: Gari la Polisi lapinduka

Picha inaonesha gari ni RHD na limepindukia kushoto upande wa siti ya abiria. Huenda dereva hakufunga mkanda hivyo alirushwa nje ya gari na mauti yakamkuta huko
kuna siri kubwa hapa mkuu polisi wenyewe ndo wanavunja sheria utagemea nini
 
kwa hiyo mali zunazolindwa ni za ccm? raia wote mnalindwa ni wana ccm? mabenki yote yanayolindwa ni wana ccm?mbowe katika msiba wa chacha wangwe wakati analindwa na polisi pale tarime alikuwa mwana ccm?

ukiona mtu anachuki na polisi ujue ni mhalifu
unawatetea kwa sababu ndo unapata ulaji huko hakuna watu nawachukia kama polisi
 
Alijua siri fulani wenzake wametumwa kumclean. Tetete polisi wa ccm hawaaminiki hata kidogo
hapa watakuwa wamezdiana kete wakaamua kumpotezea mbali mimi sina imani wala sitakuja kuwa na imani na jeshi la polisi mkuu nikikumbuka yule jambazi wa arusha walivyomuua wakasema alikuwa anajaribu kutoka polisi chini ya ulinzi mkali napoteza kabisa imani nao.
 
Unachoshindwa kujua kuwa police ni kazi km kazi zingne, tena kazi ya wito so naumia mjinga mjinga anavowadic police, natamani hata kumtoa kende. Mtu analindwa yy na mali zake then he/she speak waste.
Nani kakudanganya kuwa polisi wanalinda raia? Tembea uone polisi haohao wanatesa na kuua raia.
 
kwa hiyo mali zunazolindwa ni za ccm? raia wote mnalindwa ni wana ccm? mabenki yote yanayolindwa ni wana ccm?mbowe katika msiba wa chacha wangwe wakati analindwa na polisi pale tarime alikuwa mwana ccm?

ukiona mtu anachuki na polisi ujue ni mhalifu
mkuu, unazungumzia mali zipi za raia? mali zote zipo kwa Chenge, Ngeleja na Tibaijuka ndo hizo zinalindwa na hao polisi!
 
Mbona gari haijaaribika kiasi hicho, huyo afande amepotezaje maisha..!!
 
Unachoshindwa kujua kuwa police ni kazi km kazi zingne, tena kazi ya wito so naumia mjinga mjinga anavowadic police, natamani hata kumtoa kende. Mtu analindwa yy na mali zake then he/she speak waste.

Nando;
Natamani ningekuwa karibu nkakutandika kofi. Kazi ya polisi ilikuwa na wito zamani sio leo. Polissm si wa kutetewa hata kwa mti mrefu. Sifurahii mauti au hata kupatwa janga lakini haya manjagu ya ccm yamezidiiiiiiii. Uonevu kila kona, ubabaishaji kiila kona, wezi wa haki za raia. Poleni wafiwa na poleni walio umia. Ila mleta hoja tuambieni kwamba walikuwa wamebeba nini???
 
Nasubiri siku wakiwa wanatekeleza kazi kwa maelekezo ya serikali ya UKAWA kama mtatawala ndio nione comments zenu wanapopatwa na vifo, sijui mtasemaje.!
Mkuu hapa kinacholalamikiwa ni watawala kuitumia polisi kwa manufaa binafsi,
Kunapotokea hali hiyo polisi anajitawala kwani anajua watawala hawatamfanya lolote
kwani analinda maslahi yao.Serikali yoyote iwe ya ccm,ukawa au yeyote,ikiwa itaitumia polisi
kujinufaisha itakumbana na nguvu ya umma.Na polisi anayetumiwa asitegemee msaada wa raia
maana wanamuona ni adui badala ya kuwa rafiki.
Kuna aliyesema tukiwa na shida tunakimbilia polisi,hilo ni kweli
na tunafanya hivyo kwa sababu tunawalipa,mbona hakuna anayekimbilia kampuni za walinzi binafsi
ambao hana mkataba nao,cc tunalipa kodi inayowalipa polisi mishahara hivyo tuna haki
ya kulindwa na mali zetu,kwani tukiibiwa watalipwa mshahara kutoka wapi?
 
Nando;
Natamani ningekuwa karibu nkakutandika kofi. Kazi ya polisi ilikuwa na wito zamani sio leo. Polissm si wa kutetewa hata kwa mti mrefu. Sifurahii mauti au hata kupatwa janga lakini haya manjagu ya ccm yamezidiiiiiiii. Uonevu kila kona, ubabaishaji kiila kona, wezi wa haki za raia. Poleni wafiwa na poleni walio umia. Ila mleta hoja tuambieni kwamba walikuwa wamebeba nini???

Hujui mimi ni nani, na me natamani ngekua nakuona Ak47 ingekuhusu sana.
 
Gari la Polisi limepinduka leo Makambako. Mmoja amepoteza maisha ambaye ni dereva.
attachment.php
Poleni wafiwa.Muwe na subira na uvumilivu katika kipindi hiki kigumu cha kuondokewa na mpendwa wenu.
 
Back
Top Bottom