DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,129
liyekuwa Mbunge wa Bumbuli Mkoani Tanga Mhe. January Makamba ameelezea mapokezi ya Mgombea wa kiti Cha Urais Kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM)Dkt. Samia Suluhu Hassan Mkoani Tanga ambapo amesema kuwa wingi wa wanatanga katika Mikutano ya Dkt. Samia ni ishara Tosha itakapofika Oct 29,2025 siku ya uchaguzi ni kwenda kumpa kura Mgombea huyo
Makamba ameyasema hayo Leo Sept 30,2025 Korogwe Tanga kwenye mwendelezo wa Mikutano ya Kampeni za uchaguzi Mkuu ya Dkt. Samia Suluhu Hassan
Makamba amesema kuwa wanachama wote wa CCM wanashikamana ili kuhakikisha kuwa Chama kinapata kura nyingi.
Makamba ameyasema hayo Leo Sept 30,2025 Korogwe Tanga kwenye mwendelezo wa Mikutano ya Kampeni za uchaguzi Mkuu ya Dkt. Samia Suluhu Hassan
Makamba amesema kuwa wanachama wote wa CCM wanashikamana ili kuhakikisha kuwa Chama kinapata kura nyingi.