cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 28,906
- 78,956
Utaenda kwenye mkesha kwake
Ova
Aiseeeee!!!
Utaenda kwenye mkesha kwake
Ova
Mama wa lumumba umekuja kivingine
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wengine huwa ni wagumu mno kurudisha koti la watu hadi waporwe kwa nguvu!! Kuna jirani yetu pale karibu na ferry ameshaanza kushona sehemu zilikuwa na vifungo!! Yaani badala ya vifungo yeye anashona kabisa,anadai eti vifungo vinamchelewesha kufungua na kufunga,sasa siku atakayotakiwa kuvua sijui itakuwaje! Na anasema kuwa koti alienda kuazima mwenyewe kwa hiyo hakuna wa kumpangia jinsi ya kulivaa!! Hajaribiwi!
Hivi wewe unafikiri kuna mtu ana hamu na ubunge wa upinzani? Nani hajipendi? Mfano ni chaguzi za sasa hivi ukiona mtu kaingia ana kinga. CCM itatawala daima kama kinvyotawala chama cha kikomnist China au Cuba. Usiwe na presha wala kupoteza muda kuandika. Wengi waliokuwa wanagombea upinzani ni watu waliotosheka hivyo hata wakiacha siasa hawatakuwa omba omba.Mnaangaika sana, ila hamjui mna deal na mtu wa aina gani, zamu hii kila rangi mtaiona. Badala ya kwenda vijijini angalau mjaribu kutetea viti vya ubunge na udiwani 2020 vipatikane hata 10 tu,mpo mnahangaika na kauli za KAKOBE. Na viongozi wenu wamesanda wapo kimya, hizi siasa za matukio zitawafanya mpate wabunge 5 mwaka 2020 msiposhtuka mkaacha kucheza kila ngoma inayoletwa.
Nyie mjazeni ujinga tu!Huyu naye mnataka kumuonyesha bunduki ?
Mnaangaika sana, ila hamjui mna deal na mtu wa aina gani, zamu hii kila rangi mtaiona. Badala ya kwenda vijijini angalau mjaribu kutetea viti vya ubunge na udiwani 2020 vipatikane hata 10 tu,mpo mnahangaika na kauli za KAKOBE. Na viongozi wenu wamesanda wapo kimya, hizi siasa za matukio zitawafanya mpate wabunge 5 mwaka 2020 msiposhtuka mkaacha kucheza kila ngoma inayoletwa.
Nimekuelewa sana niah.. , nimemiss tu picha yako irudishe basi,. Au nicheki PM.Hivi wewe unafikiri kuna mtu ana hamu na ubunge wa upinzani? Nani hajipendi? Mfano ni chaguzi za sasa hivi ukiona mtu kaingia ana kinga. CCM itatawala daima kama kinvyotawala chama cha kikomnist China au Cuba. Usiwe na presha wala kupoteza muda kuandika. Wengi waliokuwa wanagombea upinzani ni watu waliotosheka hivyo hata wakiacha siasa hawatakuwa omba omba.
![]()
Anawatakia heri ya mwaka mpya
Ahahahaaaaaa nangoja mwaka uishe nione ujio wako mpya naona umetanguliza avata mpyaMnikome shaa sipo Lumumba na wala sipajui.. mnakazaniaaaa
Sijawahi weka picha hata siku moja. Mimi ni wale wasiojulikana.Nimekuelewa sana niah.. , nimemiss tu picha yako irudishe basi,. Au nicheki PM.