Amulike Noel
Member
- Sep 16, 2009
- 5
- 0
Katika taarifa ya habari ya ITV jana jana usiku katibu mkuu wa CCM Mh. Yusuph Makamba akiwa jimboni kwa Spika wa Bunge Mh Sitta huko Urambo Mashariki amemsifia Spika huyo kwa maneno mengi ya kisiasa nakielimu. Je, huyu Makamba huu ukinyoga wake mpaka lini ? Maana aliyoongea kwenye NEC na jana yanakanganya.