Makamba na ukinyonga wake

Amulike Noel

Member
Sep 16, 2009
5
0
Katika taarifa ya habari ya ITV jana jana usiku katibu mkuu wa CCM Mh. Yusuph Makamba akiwa jimboni kwa Spika wa Bunge Mh Sitta huko Urambo Mashariki amemsifia Spika huyo kwa maneno mengi ya kisiasa nakielimu. Je, huyu Makamba huu ukinyoga wake mpaka lini ? Maana aliyoongea kwenye NEC na jana yanakanganya.
 
Katika taarifa ya habari ya ITV jana jana usiku katibu mkuu wa CCM Mh. Yusuph Makamba akiwa jimboni kwa Spika wa Bunge Mh Sitta huko Urambo Mashariki amemsifia Spika huyo kwa maneno mengi ya kisiasa nakielimu. Je, huyu Makamba huu ukinyoga wake mpaka lini ? Maana aliyoongea kwenye NEC na jana yanakanganya.

...mwambie ASIDANGANYIKE!
 
Katika taarifa ya habari ya ITV jana jana usiku katibu mkuu wa CCM Mh. Yusuph Makamba akiwa jimboni kwa Spika wa Bunge Mh Sitta huko Urambo Mashariki amemsifia Spika huyo kwa maneno mengi ya kisiasa nakielimu. Je, huyu Makamba huu ukinyoga wake mpaka lini ? Maana aliyoongea kwenye NEC na jana yanakanganya.
mropokaji hovyo hovyo mara nyingi huwa hakumbuki alichokisema.
 
Back
Top Bottom