kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 16,252
- 16,171
Hawa ndo watakaotaga yai la mgawanyiko CCM kama wasipokuwa makini na kauli zao za kwenye vyombo vya habari.
Mwl Nyerere alisema anayetaka kubebwa kama mgonjwa au maiti aachwe abebwe tu kama wabebaji wapo tayari kubeba kwa hiari Yao.
CCM ya sasa inapendwa sana kila kona Tanzania, kama hii ni kweli basi hakuna haia ya kuhangaika na wanaotangaza nia ambao hesabu zinaonyesha kuwa hawatapata watakao waunga mkono.
Hofu ya nini?
Mwl Nyerere alisema anayetaka kubebwa kama mgonjwa au maiti aachwe abebwe tu kama wabebaji wapo tayari kubeba kwa hiari Yao.
CCM ya sasa inapendwa sana kila kona Tanzania, kama hii ni kweli basi hakuna haia ya kuhangaika na wanaotangaza nia ambao hesabu zinaonyesha kuwa hawatapata watakao waunga mkono.
Hofu ya nini?