- Warioba aaamue either kuhesabiwa kama kina Quaresi, au anyamaze, somebody should tell Warioba kwamba Makamba, hakujipa ukatibu wa CCM, kama hajui aliyempa basi akaangalie katiba ya CCM ni wajibu wa nani kumchagua katibu wake mkuu?
- Waziri mmoja zamani kwa jina Makweta, siku moja alikwenda kwa bosi wake then Rais Mkapa, kumlalamikia kuhusu msaidizi mmoja wa Rais kwa jina la Kumchaya, Mkapa alimsikiliza mpaka akamaliza kwanza, akamjibu kwamba kama Kumchaya hafai basi na mimi niliyemchagua kuwa msaidizi wangu sifai, next cabinet Makweta, akatupwa nje huku Kumchaya akiendelea na unga!
- Warioba aache kuzunguka mbuyu, Quaresi ameshapandisha the bar, sasa kina Warioba wasiturudishe nyuma tena wote tunajua Makamba amechaguliwa na nani!
Respect.
FMEs!