Josh Michael
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,523
- 91
Ukiona hivi ndio sababu kubwa ya ombwe ya uongozi ya Tanzania na pia wakina makamba ni mifano tu
Sijaipenda kabisa message yako mkuu Einstein. We are only human being. Sidhani kama kutamani mwenzako afe ni kauli yenye utukufu mbele za Mungu na mbele za wanadamu. Bahati mbaya ilioje, ukitamani mtu fulani afe, wewe ndo utatangulia. I would descourage this kind of message.... Makamba akili haziko sawa, ni vyema akapelekwa Milembe.... Mi naona anazeeka vibaya sana, na atakufa vibaya sana.
Kama alivyosema kuwa amebakiza miaka minne ya kuishi, kwa nini asitende mema akafa vizuri ?????.. Makamba is totally hopeless , i Hate him...
Mtoto wake amesoma, tofauti na Dingi!Swala la elimu tunalitambua sana kwamba ni problem kwake....
Hazimtoshi upstairs...wote tunajua, kwanza ni nature yake...
kwa kujikomba tu duh balaa mpaka anauzalilisha umri wake, chama chake, hata familia
yake, ndo mana kwangu inakua ngumu kuamini kuwa mtoto wake atakua na maadili
ikiwa mzazi wake tu anabihave kiivyo. ukizingatia kwamba mtoto wa kiume huchukua
tabia kwa babaye na wakike kwa mamaye....thx for the report INVISIBLE....
Garbage in, garbage out (GIGO).Rubish in rubish out. Sio makamba peke yake, wateule wengi wa mkulu wana walakini. Standard zake ziko chini sana.
But still got those genes that can be effective on him/her, the scenario we don't need it to repeat itself.Mtoto wake amesoma, tofauti na Dingi!
Of all the people hata Quares anaweza kusema chochote akaeleweka? lol mkoa wa mbeya waulize wananchi walivyokuwa hawaishi kuandamana...he is just a failure...- Warioba aaamue either kuhesabiwa kama kina Quaresi, au anyamaze, somebody should tell Warioba kwamba Makamba, hakujipa ukatibu wa CCM, kama hajui aliyempa basi akaangalie katiba ya CCM ni wajibu wa nani kumchagua katibu wake mkuu?
- Waziri mmoja zamani kwa jina Makweta, siku moja alikwenda kwa bosi wake then Rais Mkapa, kumlalamikia kuhusu msaidizi mmoja wa Rais kwa jina la Kumchaya, Mkapa alimsikiliza mpaka akamaliza kwanza, akamjibu kwamba kama Kumchaya hafai basi na mimi niliyemchagua kuwa msaidizi wangu sifai, next cabinet Makweta, akatupwa nje huku Kumchaya akiendelea na unga!
- Warioba aache kuzunguka mbuyu, Quaresi ameshapandisha the bar, sasa kina Warioba wasiturudishe nyuma tena wote tunajua Makamba amechaguliwa na nani!
Respect.
FMEs!
Of all the people hata Quares anaweza kusema chochote akaeleweka? lol mkoa wa mbeya waulize wananchi walivyokuwa hawaishi kuandamana...he is just a failure...
Ni kweli wanaopiga kelele unaweza ku-connect dots...ukajua wanatokea wapi hawana lolote, kama wanataka real politics wamtengeneze mtu wao (CCM backbenchers) apambane na JK 2010...
lakini nani atamwamini qaures, sumaye, mkapa, butiku and his company just lost generation lol
Nafikiri kuna haja ya kuacha kuangalia nani anasema na kuangalia nini kinasemwa.
Qaresi the person ana mapungufu makubwa, lakini mapungufu haya ya Qaresi ndiyo hayo hayo yanayompa ujasiri -ujasiri ambao Nyerere aliuita "kichaa"- ambao unamfanya aseme ukweli.
Warioba ana class na old school respect sana, ni mzee old school ana conservatism ya kumpa Kikwete the benefit of doubt sana, na hii class, conservatism na legalism ya kumpa Kikwete the benefit of the doubt ndiyo inayomziba macho.
Let's face it, kuna watu katika hili bandwagon la kina Butiku wanasema wanayosema kwa kuwa wako nje ya system, na wangekuwa katika system wasingesema hayo. Lakini tuliache hilo, lita-complicate issues tu na kum-vindicate huyu joker Kikwete anaposema "wana chuki binafsi"
Tujiulize swali moja dogo tu, yanayosemwa ni kweli au si kweli?
Mambo ya motives and ll kwa sasa ni mapema, wanasema nyoka akiingia ndani ya nyumba hamuanzi kujadiliana nani aliacha mlango wai, mnamuua/ mnamtoa nyoka nje ya nyumba, mnafunga mlango, then ndio mnaweza kuanza kujadiliana nani aliacha mlango wazi.
Kwa hiyo kwa sasa hivi, as long as hawa wazee wanaongea ukweli, tu focus kwenye regime change, haya maswali mengine ya motives zao na past prformances zao yatakuwa timely only tutakapoweza kumtoa Kikwete.
Swala la elimu tunalitambua sana kwamba ni problem kwake....
Hazimtoshi upstairs...wote tunajua, kwanza ni nature yake...
kwa kujikomba tu duh balaa mpaka anauzalilisha umri wake, chama chake, hata familia
yake, ndo mana kwangu inakua ngumu kuamini kuwa mtoto wake atakua na maadili
ikiwa mzazi wake tu anabihave kiivyo. ukizingatia kwamba mtoto wa kiume huchukua
tabia kwa babaye na wakike kwa mamaye....thx for the report INVISIBLE....
Nafikiri kuna haja ya kuacha kuangalia nani anasema na kuangalia nini kinasemwa.
Qaresi the person ana mapungufu makubwa, lakini mapungufu haya ya Qaresi ndiyo hayo hayo yanayompa ujasiri -ujasiri ambao Nyerere aliuita "kichaa"- ambao unamfanya aseme ukweli.
Warioba ana class na old school respect sana, ni mzee old school ana conservatism ya kumpa Kikwete the benefit of doubt sana, na hii class, conservatism na legalism ya kumpa Kikwete the benefit of the doubt ndiyo inayomziba macho.
Let's face it, kuna watu katika hili bandwagon la kina Butiku wanasema wanayosema kwa kuwa wako nje ya system, na wangekuwa katika system wasingesema hayo. Lakini tuliache hilo, lita-complicate issues tu na kum-vindicate huyu joker Kikwete anaposema "wana chuki binafsi"
Tujiulize swali moja dogo tu, yanayosemwa ni kweli au si kweli?
Mambo ya motives and ll kwa sasa ni mapema, wanasema nyoka akiingia ndani ya nyumba hamuanzi kujadiliana nani aliacha mlango wai, mnamuua/ mnamtoa nyoka nje ya nyumba, mnafunga mlango, then ndio mnaweza kuanza kujadiliana nani aliacha mlango wazi.
Kwa hiyo kwa sasa hivi, as long as hawa wazee wanaongea ukweli, tu focus kwenye regime change, haya maswali mengine ya motives zao na past prformances zao yatakuwa timely only tutakapoweza kumtoa Kikwete.
sawa na sofia simba alikuwa receiptionist pale idara ya maelezo. Kwa kweli Kikwete ana kazi kwelikweli!!!!