Mkuu,
kisukuma ni kibantu... au sio?
January ana creditials zote kuwa Mbunge, kama ni kweli litakuwa na wazo la mbolea sana. I can see this young man ana excel katika nyadhifa za juu huko mbeleni.
Tatizo watu wana mhukumu January kwa kuangalia utendaji wa baba yake badala ya kumuangalia January kama January, the guy is very intelligent and the future is bright for him.
Hawa ndio calibre ya vijana tunao wataka kule mjengoni go January...
Mkuu Buricheka,
Hata kama Kelly ana mahusiano na JM, je kuna kosa lolote kwa yeye kutoa maoni yake hapa? Ni vizuri kuongea utendaji wa JM lakini pia sioni kama ni vibaya kwa mtu anayemfahamu vizuri JM (kwa mfano - rafiki yake) kutoa maoni yake kumhusu.
Yanatoka kwenye Kibantu, sio Kisukuma.
Ukirekebisha mtu na maneno makali maKali kama "FOR YOUR INFORMATION", angalau basi jua unachokiongelea.
What are you talking about?nini ukali wa FYI?umesikia tone(sauti) niliotumia?can tone of voice be heard through written communications?au umeweka assumption tu kwamba nimejibu kiukali?maelezo tafadhali?
yaani huyo kijana wake hata kwenda yeye mwenyewe ameshindwa mpaka baba yake amuendee kwani anapeleka posa???kweli hii bora ibaki kuwa tetesi
Taji Liundi na Mwamvita Makamba wameowana ama ni mikasi tu!
..Shelukindo amefanya mambo gani makubwa huko Bumbuli?
kwa hiyo sie ambao hatuna watu wa kuwatanguliza majimboni ndio hatuna chetu?
Waache demokrasia ichukue mkondo wake mi nashangaa wabunge wanao sema wanachezewa rafu wanataka wawe wabunge milele?
Sasa si baba ake kaenda kuongea nao kwanza? We hauoni hata maofisini kabla mtu hajaenda kuonana na mabosi wenyewe kuna kuwa na mtu ana tambus=lisha kabisa kuwa mtu fulani ana kuja na ana nia hii naomba mumsaidie?
That is a wrong approach. Ina maana atakuwa anatawala kwa kuongozwa na baba yake
viti maalum? mmhh! akutukanae.........hilo swala dogo sana kwa ccm.hapo kinachofanywa shellukindo anendelea ubunge wake bumbuli na january anapewa ubunge wa viti maalum wamemaliza kazi.
January ana creditials zote kuwa Mbunge, kama ni kweli litakuwa na wazo la mbolea sana. I can see this young man ana excel katika nyadhifa za juu huko mbeleni.
Tatizo watu wana mhukumu January kwa kuangalia utendaji wa baba yake badala ya kumuangalia January kama January, the guy is very intelligent and the future is bright for him.
Hawa ndio calibre ya vijana tunao wataka kule mjengoni go January...
Ndo maanake , iwapo baba anampigia debe sasa huyo si anaongozwa na baba ake na kama ni kweli basi kuna kitu ambacho huyo babaake ana interest nacho ktk hili jimbo..........
Creditials zipi mkuu tutajie chache na kashawahi kufanya nini kututhibitishia maneno yako? Nafasi aliyonayo ikulu hata wewe ungekuwa nayo kama baba yako angekuwa katibu mkuu wa ccm, yaani kapelekwa. Angekuwa ni mtu kaanza na kupanda taratibu tungesema sawa ila data zake hakuna. Itakuwa ndio hao hao kina nchimbi, masha, mongela mkuu wa wilaya, ridhwani na nk