Makamba ataka mwanae amrithi Shelukindo...



Thank!@!! great mind think alike....nimesema same thing kuwa huyu Baraka hata hana nina ya kugombea kiti chochote na wala hayupo kwenye mambo ya siasa how come anaongelewa issue zake hapa.....hii issue inafaa wale ambao wako mstari wa mbele kugombea hicho kiti cha ubunge huko Bumbuli,
 
Shem najua unamzimia sana January Makamba....Plse no Mikasi na yeye!

hahahaha shem...January is a friend bana.....kwanza nataka kujua maana ya hiyo Mikasi kabla sijaitumia you know...u never know shem labda tusi shauri yako.....
 

hahahaha shem...January is a friend bana.....kwanza nataka kujua maana ya hiyo Mikasi kabla sijaitumia you know...u never know shem labda tusi shauri yako.....

Mikasi maana yake tendo la ndoa au ngono au kupima oil
 

Nakubali.

hahahaha shem...January is a friend bana.....

Sasa hapa inabidi nikuchenjie.

Kumbe wakati wote ule unampigia debe January ni kwa vile una mahusiano nae ya kirafiki?

Ungetoa disclosure mapema, vinginevyo ni kama unafagilia mlo.
 
Nakubali.



Sasa hapa inabidi nikuchenjie.

Kumba wakati wote ule unampigia debe January ni kwa vile una mahusiano nae ya kirafiki?

Ungetoa disclosure mapema, vinginevyo ni kama unafagilia mlo.


LOL!...Bulicheka...usimsikile shemeji yangu huyo masanilo.....wala miye na January hatuna mahusiano yeyote ni kutokana navyomuana anavyofanya vizuri kwenye ofisi that's about it....January is married jamani hebu msije mkamuharibia ndoa yake ikawa kwenye matata....a;afu akakosa ubunge wa bumbuli think yeye ni fuska wala kaka wa watu is innocent na and very smart guy i do admire him for that.....

No sifagilii mlo ila namfagiliya kwa sababu aona ni kijana wenye mwelekeo na kwamba nataka sura mpya kwenye serikali yaetu than kuona same faces...kuna face nimeanza kuziona toka nipo chekechea.......
 
Kelly,

mwanawane ndio nini?naomba tafsiri.

Mwanawane na miye nimeijua like 3 month ago Mstahiki maana yake ni RAFIKI....ndiyo nilivyoambiwa unless nimedanganywa...

Shem

Kwenye Bajaj hakuna kuchange Oil! Tasiri tafadhali

shem hizo bajaji ndiyo maana zinapata sana ajali kwa sababu haziko safe...alafu bajaji ni baiskeli...
 
Kelly,

FYI:The true meaning ya Mwanawane comes from Sukumaz.Mwana=Mwana,wane=wangu
so mwanawane kwa kiswahili ni mtotowangu.

Concord
 
Last edited by a moderator:
Mwanawane na miye nimeijua like 3 month ago Mstahiki maana yake ni RAFIKI....ndiyo nilivyoambiwa unless nimedanganywa...



shem hizo bajaji ndiyo maana zinapata sana ajali kwa sababu haziko safe...alafu bajaji ni baiskeli...

Tadhali shem, nalipia road tax na kila kitu, hata mh Chenge usiku huwa anaendesha bajaj ....halafu huyo ni Buricheka na si Bulicheka
 
Mwanawane na miye nimeijua like 3 month ago Mstahiki maana yake ni RAFIKI....ndiyo nilivyoambiwa unless nimedanganywa...



shem hizo bajaji ndiyo maana zinapata sana ajali kwa sababu haziko safe...alafu bajaji ni baiskeli...

Kwa vile ni kibantu ... labda nijaribu kutafsiri.

Mwanawane .... tenganisha neno hili kuwa mawili = mwana + wane

Mwana = mwana/mtoto/kijana/ndugu
Wane = Wangu/yangu?
 

January amefanya nini kizuri kwenye ofisi, taja kimoja.

Na si kwa Masanilo niliposikia chochote kuhusu wewe na January. Wewe mwenyewe umesema ni rafiki yako. Una mahusiano nae ya kirafiki. Na nilipogusia hilo ukacheka kweli kweli, sijui umefurahi nini. Ukaenda kwenye maswala ya January kuachika na mkewe. Yashakuwa hayo?

Sasa leo utatuambia, January amefanya nini kwenye ofisi. Na hatutaki aliyokufanyia wewe katika mahusiano yenu ya kirafiki, amefanya nini kizuri kazini.
 
FYI:The true meaning ya Mwanawane comes from Sukumaz.

Yanatoka kwenye Kibantu, sio Kisukuma.

Ukirekebisha mtu na maneno makali maKali kama "FOR YOUR INFORMATION", angalau basi jua unachokiongelea.
 

Kelly

Unaona sasa kila mtu anajua ume-du na January hahahahah uwiiii nataka kufariki....!
 

Mkuu Buricheka,

Hata kama Kelly ana mahusiano na JM, je kuna kosa lolote kwa yeye kutoa maoni yake hapa? Ni vizuri kuongea utendaji wa JM lakini pia sioni kama ni vibaya kwa mtu anayemfahamu vizuri JM (kwa mfano - rafiki yake) kutoa maoni yake kumhusu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…