Lekanjobe Kubinika
JF-Expert Member
- Dec 6, 2006
- 3,020
- 577
Mimi simshangai makamba sababu shule yake inamruhusu kuwa fyatu. lakini Siyame alikataliwa waziwazi mbele ya rais na mwenyekiti wake wa Taifa, anadhani aliona dalili ya kushinda? Ni msomi huyo tena daktari bingwa wa macho lakini haimsaidii kuona kwa macho yake kwamba watu wake hawamtaki? Namfahamu sana bwana huyu hata sikushangaa alivyokataliwa. Sasa na aende mahakamani akavuliwe nguo za akili yake aumbuke zaidi. Ushauri wa bure asipokee na kufanyia kazi kila porojo za kina makamba.
Heri mimi sijasema.
Heri mimi sijasema.