mikatabafeki
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 12,772
- 4,641
cha msingi ni kulinda kura tu mana sisiem wana plan A,B,C hadi Z
Safi sana picha zimependeza na nyomi ni la uhakika magamba washindwe na walegee, Big Up CDM keep it up na kura lazima zilindwe kwa mbinu zote
hadi raha jamani Jimbo la Igunga limeenda chademaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaHizi ni salaam kwa magamba popote walipo
Kila aina ya hujuma, wizi na ufisadi muufanyao
Kwa kutumia rushwa, takrima, ulaghai na posho
Kuwapakazia wapigania haki shutuma za uwongo
Lazima mjue kuwa kuna siku mtadaiwa malipo
Hiyo siku yawezekana isiwe mbali bali ni kesho
Hawa wananchi waliojawa hasira na kinyongo
Hawatakuwa na huruma kwa yote myafanyayo
Adhabu itakayowafaa magamba si nyingine bali kifo.
A luta continua !!
hadi raha jamani Jimbo la Igunga limeenda chademaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
watu wanaipenda chadema lkn je ccm watakubali atangazwe mshindi wa chadema iwapo atashinda?