Ponjoro wa Kinondoni JF-Expert Member Joined Jan 5, 2024 Posts 2,886 Reaction score 7,929 Dec 25, 2024 #1 Tuko hapa Machame, wilayani Hai mkoani Kilimanjaro na hivi, ndivyo tunavyozitumia pesa za kikoba cha mjomba. Asitokee mtu wa kutaka kukipora kikoba chetu, labda akaanzishe chakwake. Makamanda piiiipoooz (kwa sauti ya mjomba)
Tuko hapa Machame, wilayani Hai mkoani Kilimanjaro na hivi, ndivyo tunavyozitumia pesa za kikoba cha mjomba. Asitokee mtu wa kutaka kukipora kikoba chetu, labda akaanzishe chakwake. Makamanda piiiipoooz (kwa sauti ya mjomba)
Moisemusajiografii JF-Expert Member Joined Nov 3, 2013 Posts 49,734 Reaction score 89,337 Dec 25, 2024 #2 Rose umeshiba mbege/mbeke?
Ponjoro wa Kinondoni JF-Expert Member Joined Jan 5, 2024 Posts 2,886 Reaction score 7,929 Dec 25, 2024 Thread starter #3 Moisemusajiografii said: Rose umeshiba mbege/mbeke? Click to expand... Ni Rozela mkuu.
Pascal Mayalla Platinum Member Joined Sep 22, 2008 Posts 57,221 Reaction score 128,982 Dec 25, 2024 #4 Rozela said: Tuko hapa Machame, wilayani Hai mkoani Kilimanjaro na hivi, ndivyo tunavyozitumia pesa za kikoba cha mjomba. Asitokee mtu wa kutaka kukipora kikoba chetu, labda akaanzishe chakwake. Makamanda piiiipoooz (kwa sauti ya mjomba) View attachment 3184644 View attachment 3184645 View attachment 3184646 Click to expand... Duh...!, halafu hiyo nyama ni ya mbuzi katoliki!, ni dhambi kutumia michango ya ndungu zetu Waislamu kwa matumizi ya kitu ambacho ni haramu kwao!. P
Rozela said: Tuko hapa Machame, wilayani Hai mkoani Kilimanjaro na hivi, ndivyo tunavyozitumia pesa za kikoba cha mjomba. Asitokee mtu wa kutaka kukipora kikoba chetu, labda akaanzishe chakwake. Makamanda piiiipoooz (kwa sauti ya mjomba) View attachment 3184644 View attachment 3184645 View attachment 3184646 Click to expand... Duh...!, halafu hiyo nyama ni ya mbuzi katoliki!, ni dhambi kutumia michango ya ndungu zetu Waislamu kwa matumizi ya kitu ambacho ni haramu kwao!. P
Ponjoro wa Kinondoni JF-Expert Member Joined Jan 5, 2024 Posts 2,886 Reaction score 7,929 Dec 25, 2024 Thread starter #5 Pascal Mayalla said: Duh...!, halafu hiyo nyama ya mbuzi katoliki!, ni dhambi kutumia michango ya Waislamu kwa matumizi ya kitu haramu kwao!. P Click to expand... Makamanda ni waelewa.
Pascal Mayalla said: Duh...!, halafu hiyo nyama ya mbuzi katoliki!, ni dhambi kutumia michango ya Waislamu kwa matumizi ya kitu haramu kwao!. P Click to expand... Makamanda ni waelewa.
TUJITEGEMEE Platinum Member Joined Nov 6, 2010 Posts 27,298 Reaction score 28,006 Dec 25, 2024 #6 Pascal Mayalla said: Duh...!, halafu hiyo nyama ya mbuzi katoliki!, ni dhambi kutumia michango ya Waislamu kwa matumizi ya kitu haramu kwao!. P Click to expand... Yamekuwa haya! === Kweli ACT lazima grafu ipande Hata kwa kulimia meno.
Pascal Mayalla said: Duh...!, halafu hiyo nyama ya mbuzi katoliki!, ni dhambi kutumia michango ya Waislamu kwa matumizi ya kitu haramu kwao!. P Click to expand... Yamekuwa haya! === Kweli ACT lazima grafu ipande Hata kwa kulimia meno.
Moisemusajiografii JF-Expert Member Joined Nov 3, 2013 Posts 49,734 Reaction score 89,337 Dec 25, 2024 #7 Rozela said: Ni Rozela mkuu. Click to expand... Sawa ila umeshiba mbege.
Ponjoro wa Kinondoni JF-Expert Member Joined Jan 5, 2024 Posts 2,886 Reaction score 7,929 Dec 25, 2024 Thread starter #8 Moisemusajiografii said: Sawa ila umeshiba mbege. Click to expand... Ndiyo, tena kwa ada yako ya uanachama.
Moisemusajiografii said: Sawa ila umeshiba mbege. Click to expand... Ndiyo, tena kwa ada yako ya uanachama.
Moisemusajiografii JF-Expert Member Joined Nov 3, 2013 Posts 49,734 Reaction score 89,337 Dec 25, 2024 #9 Rozela said: Ndiyo, tena kwa ada yako ya uanachama. Click to expand... Kwani huko mnachukua hadi ada zetu za chama cha Legio Maria?
Rozela said: Ndiyo, tena kwa ada yako ya uanachama. Click to expand... Kwani huko mnachukua hadi ada zetu za chama cha Legio Maria?
Sakasaka Mao JF-Expert Member Joined Sep 29, 2016 Posts 14,971 Reaction score 21,066 Dec 25, 2024 #10 Rozela said: Tuko hapa Machame, wilayani Hai mkoani Kilimanjaro na hivi, ndivyo tunavyozitumia pesa za kikoba cha mjomba. Asitokee mtu wa kutaka kukipora kikoba chetu, labda akaanzishe chakwake. Makamanda piiiipoooz (kwa sauti ya mjomba) View attachment 3184644 View attachment 3184645 View attachment 3184646 Click to expand... Dah, mbavu zimeiva utamu sana hizi, hadi nimepata hamu ya kula.
Rozela said: Tuko hapa Machame, wilayani Hai mkoani Kilimanjaro na hivi, ndivyo tunavyozitumia pesa za kikoba cha mjomba. Asitokee mtu wa kutaka kukipora kikoba chetu, labda akaanzishe chakwake. Makamanda piiiipoooz (kwa sauti ya mjomba) View attachment 3184644 View attachment 3184645 View attachment 3184646 Click to expand... Dah, mbavu zimeiva utamu sana hizi, hadi nimepata hamu ya kula.
G G4N JF-Expert Member Joined Apr 6, 2014 Posts 4,449 Reaction score 10,300 Dec 25, 2024 #11 Akina Soka mpk wametekwa wakikipigania kikoba cha Mjomba. Kumbe ndiyo hivi???!
Lwiva JF-Expert Member Joined Apr 17, 2015 Posts 21,157 Reaction score 29,775 Dec 25, 2024 #13 Pascal Mayalla said: Duh...!, halafu hiyo nyama ni ya mbuzi katoliki!, ni dhambi kutumia michango ya ndungu zetu Waislamu kwa matumizi ya kitu ambacho ni haramu kwao!. P Click to expand... Yahee huyo mbuzi Katoliki kachinjwa kwa kufuata mafundisho yote ya uchunjaji wa muhammad...kaelekezwa kibra na dua ya uchinjaji imesomwa
Pascal Mayalla said: Duh...!, halafu hiyo nyama ni ya mbuzi katoliki!, ni dhambi kutumia michango ya ndungu zetu Waislamu kwa matumizi ya kitu ambacho ni haramu kwao!. P Click to expand... Yahee huyo mbuzi Katoliki kachinjwa kwa kufuata mafundisho yote ya uchunjaji wa muhammad...kaelekezwa kibra na dua ya uchinjaji imesomwa
N ngaiwoye JF-Expert Member Joined Aug 26, 2014 Posts 2,439 Reaction score 3,774 Dec 25, 2024 #14 Pascal Mayalla said: Duh...!, halafu hiyo nyama ni ya mbuzi katoliki!, ni dhambi kutumia michango ya ndungu zetu Waislamu kwa matumizi ya kitu ambacho ni haramu kwao!. P Click to expand... 😁😁😁
Pascal Mayalla said: Duh...!, halafu hiyo nyama ni ya mbuzi katoliki!, ni dhambi kutumia michango ya ndungu zetu Waislamu kwa matumizi ya kitu ambacho ni haramu kwao!. P Click to expand... 😁😁😁
E Earthmover JF-Expert Member Joined Sep 28, 2012 Posts 25,975 Reaction score 25,289 Dec 25, 2024 #15 Rozela said: Tuko hapa Machame, wilayani Hai mkoani Kilimanjaro na hivi, ndivyo tunavyozitumia pesa za kikoba cha mjomba. Asitokee mtu wa kutaka kukipora kikoba chetu, labda akaanzishe chakwake. Makamanda piiiipoooz (kwa sauti ya mjomba) View attachment 3184644 View attachment 3184645 View attachment 3184646 Click to expand... Umaskini ni LAANA
Rozela said: Tuko hapa Machame, wilayani Hai mkoani Kilimanjaro na hivi, ndivyo tunavyozitumia pesa za kikoba cha mjomba. Asitokee mtu wa kutaka kukipora kikoba chetu, labda akaanzishe chakwake. Makamanda piiiipoooz (kwa sauti ya mjomba) View attachment 3184644 View attachment 3184645 View attachment 3184646 Click to expand... Umaskini ni LAANA
N nyakubonga JF-Expert Member Joined Apr 5, 2015 Posts 6,496 Reaction score 11,200 Dec 25, 2024 #16 Hii unaweza kuichukulia poa ila ndio ukweli.
J johnthebaptist JF-Expert Member Joined May 27, 2014 Posts 104,319 Reaction score 183,534 Dec 25, 2024 #17 Nimeambiwa Lucas Mwashambwa meneja wa kampeni kalewa mbege na Kulala Chini ya mgomba 😂
Alfred JF-Expert Member Joined Apr 13, 2008 Posts 2,171 Reaction score 2,984 Dec 25, 2024 #18 Cannabis said: View attachment 3184669 Click to expand... Pipoooooz
Benjamini Netanyahu JF-Expert Member Joined Aug 7, 2014 Posts 102,676 Reaction score 126,848 Dec 25, 2024 #19 Pascal Mayalla said: Duh...!, halafu hiyo nyama ni ya mbuzi katoliki!, ni dhambi kutumia michango ya ndungu zetu Waislamu kwa matumizi ya kitu ambacho ni haramu kwao!. P Click to expand... Nini maoni yako kati ya Mbowe na Lisu? weka uchawa pembeni
Pascal Mayalla said: Duh...!, halafu hiyo nyama ni ya mbuzi katoliki!, ni dhambi kutumia michango ya ndungu zetu Waislamu kwa matumizi ya kitu ambacho ni haramu kwao!. P Click to expand... Nini maoni yako kati ya Mbowe na Lisu? weka uchawa pembeni
kopites JF-Expert Member Joined Jan 28, 2015 Posts 9,751 Reaction score 12,140 Dec 25, 2024 #20 Rozela said: Tuko hapa Machame, wilayani Hai mkoani Kilimanjaro na hivi, ndivyo tunavyozitumia pesa za kikoba cha mjomba. Asitokee mtu wa kutaka kukipora kikoba chetu, labda akaanzishe chakwake. Makamanda piiiipoooz (kwa sauti ya mjomba) View attachment 3184644 View attachment 3184645 View attachment 3184646 Click to expand... Acha umama wewe
Rozela said: Tuko hapa Machame, wilayani Hai mkoani Kilimanjaro na hivi, ndivyo tunavyozitumia pesa za kikoba cha mjomba. Asitokee mtu wa kutaka kukipora kikoba chetu, labda akaanzishe chakwake. Makamanda piiiipoooz (kwa sauti ya mjomba) View attachment 3184644 View attachment 3184645 View attachment 3184646 Click to expand... Acha umama wewe