Ponjoro wa Kinondoni
JF-Expert Member
- Jan 5, 2024
- 3,523
- 9,584
Ni Rozela mkuu.Rose umeshiba mbege/mbeke?
Duh...!, halafu hiyo nyama ni ya mbuzi katoliki!, ni dhambi kutumia michango ya ndungu zetu Waislamu kwa matumizi ya kitu ambacho ni haramu kwao!.Tuko hapa Machame, wilayani Hai mkoani Kilimanjaro na hivi, ndivyo tunavyozitumia pesa za kikoba cha mjomba.
Asitokee mtu wa kutaka kukipora kikoba chetu, labda akaanzishe chakwake.
Makamanda piiiipoooz (kwa sauti ya mjomba)
View attachment 3184644
View attachment 3184645
View attachment 3184646
Makamanda ni waelewa.Duh...!, halafu hiyo nyama ya mbuzi katoliki!, ni dhambi kutumia michango ya Waislamu kwa matumizi ya kitu haramu kwao!.
P
Yamekuwa haya!Duh...!, halafu hiyo nyama ya mbuzi katoliki!, ni dhambi kutumia michango ya Waislamu kwa matumizi ya kitu haramu kwao!.
P
Sawa ila umeshiba mbege.Ni Rozela mkuu.
Ndiyo, tena kwa ada yako ya uanachama.Sawa ila umeshiba mbege.
Kwani huko mnachukua hadi ada zetu za chama cha Legio Maria?Ndiyo, tena kwa ada yako ya uanachama.
Dah, mbavu zimeiva utamu sana hizi, hadi nimepata hamu ya kula.Tuko hapa Machame, wilayani Hai mkoani Kilimanjaro na hivi, ndivyo tunavyozitumia pesa za kikoba cha mjomba.
Asitokee mtu wa kutaka kukipora kikoba chetu, labda akaanzishe chakwake.
Makamanda piiiipoooz (kwa sauti ya mjomba)
View attachment 3184644
View attachment 3184645
View attachment 3184646
Yahee huyo mbuzi Katoliki kachinjwa kwa kufuata mafundisho yote ya uchunjaji wa muhammad...kaelekezwa kibra na dua ya uchinjaji imesomwaDuh...!, halafu hiyo nyama ni ya mbuzi katoliki!, ni dhambi kutumia michango ya ndungu zetu Waislamu kwa matumizi ya kitu ambacho ni haramu kwao!.
P
😁😁😁Duh...!, halafu hiyo nyama ni ya mbuzi katoliki!, ni dhambi kutumia michango ya ndungu zetu Waislamu kwa matumizi ya kitu ambacho ni haramu kwao!.
P
Umaskini ni LAANATuko hapa Machame, wilayani Hai mkoani Kilimanjaro na hivi, ndivyo tunavyozitumia pesa za kikoba cha mjomba.
Asitokee mtu wa kutaka kukipora kikoba chetu, labda akaanzishe chakwake.
Makamanda piiiipoooz (kwa sauti ya mjomba)
View attachment 3184644
View attachment 3184645
View attachment 3184646
Nini maoni yako kati ya Mbowe na Lisu? weka uchawa pembeniDuh...!, halafu hiyo nyama ni ya mbuzi katoliki!, ni dhambi kutumia michango ya ndungu zetu Waislamu kwa matumizi ya kitu ambacho ni haramu kwao!.
P
Acha umama weweTuko hapa Machame, wilayani Hai mkoani Kilimanjaro na hivi, ndivyo tunavyozitumia pesa za kikoba cha mjomba.
Asitokee mtu wa kutaka kukipora kikoba chetu, labda akaanzishe chakwake.
Makamanda piiiipoooz (kwa sauti ya mjomba)
View attachment 3184644
View attachment 3184645
View attachment 3184646