Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,500
Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), CРА Amos Makalla ametoa rai kwa Watanzania kudumisha amani na utulivu iliyopo kwa sasa ili nchi iweze kuwa na maendeleo.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
CPA Makalla ametoa rai hiyo akiwa mkoani Morogoro katika ziara ya kikazi ambapo amesema nchi ikiwa haina amani na utulivu hakuna maendeleo yoyote yanayoweza kupatikana huku akasisistiza wananchi kujitokeza kwa wingi katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi Oktoba mwaka huu.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
CPA Makalla ametoa rai hiyo akiwa mkoani Morogoro katika ziara ya kikazi ambapo amesema nchi ikiwa haina amani na utulivu hakuna maendeleo yoyote yanayoweza kupatikana huku akasisistiza wananchi kujitokeza kwa wingi katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi Oktoba mwaka huu.