PreGE2025 Makalla aburuzwa Mahakamani kwa kauli yake kuwa CHADEMA inataka kununua Virusi vya Mpox na Ebola ili kuzuia uchaguzi

PreGE2025 Makalla aburuzwa Mahakamani kwa kauli yake kuwa CHADEMA inataka kununua Virusi vya Mpox na Ebola ili kuzuia uchaguzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Papaa Mobimba

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2018
Posts
980
Reaction score
3,646
Dawson Kagine kupitia Mtandao wa X, amesema kuwa

''Amos Makalla ashtakiwa Kwa kesi ya Jinai.

Mimi na ndugu Yangu wa damu Martin Maranja tumemshataki Ndugu Amos Makalla Kwa matamshi yake ya kijinai kwa kuwaambia Watanzania kwamba CHADEMA inachangisha tone tone ili inunue virusi vya MPOX na EBOLA ili uchaguzi ukikaribia Watanzania wafe''

Kuhusu kauli hiyo, soma Makalla: CHADEMA wanataka kuingiza Ebola Tanzania ili wazuie uchaguzi!

GopPjIZWoAAMYtp.jpeg

Pia soma > John Heche: Awa Mbogo kuhusu Makalla kudai CHADEMA italeta Mpox na Ebola, 'Ni mjinga na mhujumu uchumi' ataka Habari Leo wafunguliwe kesi
 
.....hilo dubwana ni kulishitaki kwa Mungu tu.....hizo ni Mahakama zao .......hakutakuwa na chochote hapo,,,,,,Maana nakumbuka BASHITE alishawahi shitakiwa ,,,,Sidhani kama alienda huko mahakamani
 
Wakitaka na michango waseme, hii ndio inatakiwa, unamshtaki mtu binafsi sio kwa cheo chake, watajifunza kuheshimu haki za watu wengine bila kuangushia siasa!
 
.....hilo dubwana ni kulishitaki kwa Mungu tu.....hizo ni Mahakama zao .......hakutakuwa na chochote hapo,,,,,,Maana nakumbuka BASHITE alishawahi shitakiwa ,,,,Sidhani kama alienda huko mahakamani
Angalau ziwepo records, sidhani kama Mungu anawasikiliza waafrika, tungeshahurumiwa siku nyingi kwa mateso watu weusi waliyopitia enzi na enzi!
 
.....hilo dubwana ni kulishitaki kwa Mungu tu.....hizo ni Mahakama zao .......hakutakuwa na chochote hapo,,,,,,Maana nakumbuka BASHITE alishawahi shitakiwa ,,,,Sidhani kama alienda huko mahakamani
uko sahihi, lakini acha iwekwe kwenye rekodi likifa huko mbele kaburi lifukuliwa mifupa yake ichapwe viboko
 
Dawson Kagine kupitia Mtandao wa X, amesema kuwa

''Amos Makalla ashtakiwa Kwa kesi ya Jinai.

Mimi na ndugu Yangu wa damu Martin Maranja tumemshataki Ndugu Amos Makalla Kwa matamshi yake ya kijinai kwa kuwaambia Watanzania kwamba CHADEMA inachangisha tone tone ili inunue virusi vya MPOX na EBOLA ili uchaguzi ukikaribia Watanzania wafe''

Kuhusu kauli hiyo, soma Makalla: CHADEMA wanataka kuingiza Ebola Tanzania ili wazuie uchaguzi!


Pia soma > John Heche: Awa Mbogo kuhusu Makalla kudai CHADEMA italeta Mpox na Ebola, 'Ni mjinga na mhujumu uchumi' ataka Habari Leo wafunguliwe kesi
Safi. Habari njema hii
 
Dawson Kagine kupitia Mtandao wa X, amesema kuwa

''Amos Makalla ashtakiwa Kwa kesi ya Jinai.

Mimi na ndugu Yangu wa damu Martin Maranja tumemshataki Ndugu Amos Makalla Kwa matamshi yake ya kijinai kwa kuwaambia Watanzania kwamba CHADEMA inachangisha tone tone ili inunue virusi vya MPOX na EBOLA ili uchaguzi ukikaribia Watanzania wafe''

Kuhusu kauli hiyo, soma Makalla: CHADEMA wanataka kuingiza Ebola Tanzania ili wazuie uchaguzi!


Pia soma > John Heche: Awa Mbogo kuhusu Makalla kudai CHADEMA italeta Mpox na Ebola, 'Ni mjinga na mhujumu uchumi' ataka Habari Leo wafunguliwe kesi
Hivi hakuna wachawi wakuwaroga hawa watu kweli nchi nzima?
 
Back
Top Bottom