Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makalio makubwa yanafaida gani katika mapenzi, maana mi naona watu hupenda makalio au wenzangu mnayatumia hayo mnapo du, au ndio mambo ya jicho la ngombe
Makalio makubwa yanafaida gani katika mapenzi, maana mi naona watu hupenda makalio au wenzangu mnayatumia hayo mnapo du, au ndio mambo ya jicho la ngombe
Mi napenda mwanamke mwenye kichwa kikubwa, kila mtu na starehe yakeMakalio makubwa yanafaida gani katika mapenzi, maana mi naona watu hupenda makalio au wenzangu mnayatumia hayo mnapo du, au ndio mambo ya jicho la ngombe
Nasema siongei tena na wewe, maana umenitukana matusi ya nguoni , kuwa huwezi kuongozana nami maana mm sinema! !!! Na Utaona wewe Wiyelele!!!!!!:shut-mouth::shut-mouth:NimekununiaMi kama una makalio makubwa ishia huko wala usinikaribie... Sipendi kuongozana na sinema barabarani....
Makalio makubwa, Makalio makubwa! Heeeeeeeeeeh! Tuacheni tupumue huu ni uumbaji wa mungu, hatukujiumba wenyewe, mnatunyanyasa sana na haya makalio, huku mnayasema huku mnayatamani tuwaelewe vipi???????????????? Maana wengine wanadai yananuka, wengine yana maji, Lakini kutwa mnayafuata, mnayatakia nn. NASEMA TUACHENI NA MAKALIO YETU MAKUBWA. SISI WALA HAYATUCHOSHI.
Cc Maddame B
Nasema siongei tena na wewe, maana umenitukana matusi ya nguoni , kuwa huwezi kuongozana nami maana mm sinema! !!! Na Utaona wewe Wiyelele!!!!!!:shut-mouth::shut-mouth:Nimekununia
Haahahahahahaahahahahaaaaa! Yaani huwa unanifanya nicheke sana, ni we Air condition wako, naona unatafuta kufyekwa dushelele lako na baba K. Loh! Hiyo VITZ NAITAKA, ILA NITUSHIE KWENYE MPESA KAMA INWEZA KUSAFIRI KWA NJIA HIYO. KAMA HAIWEZEKANI, NIELEKEZE YARD GANI NIENDE KUICHUKUA.Haa sio vizuri kununa weekend. Huwa tunanuna Jtatu! Lisa, mbona we nakuona unapendeza sana! Siwezi kukusema wewe hata kidogo! We una shape nzuri, hata ungesema tu "WIYELELE, leo naamua kuwa air conditioner yako" heee hapo hapo unapata ka VITZ....
Haahahahahahaahahahahaaaaa! Yaani huwa unanifanya nicheke sana, ni we Air condition wako, naona unatafuta kufyekwa dushelele lako na baba K. Loh! Hiyo VITZ NAITAKA, ILA NITUSHIE KWENYE MPESA KAMA INWEZA KUSAFIRI KWA NJIA HIYO. KAMA HAIWEZEKANI, NIELEKEZE YARD GANI NIENDE KUICHUKUA.