MAVUNO
JF-Expert Member
- May 29, 2011
- 790
- 651
makala nzuri
my take:
kwenye mgogolo wa kuchinja tunasema hatutaki mazoea eti kwa kuwa waislam wanataka tuendelee kufanya kama zamani,
lakini kumbukeni katika sensa mwaka jana tulitetea kusema miaka mingi tumefanya sensa bila kuingiza kipengere cha dini kwa hiyo mazoea yalizuia kuweka kile kipengere cha dini sasa tunashindwa nini kuchukulia suala la uchinjaji ni mazoea na kuwaachia waislam waendelee kuchinja?
my take:
kwenye mgogolo wa kuchinja tunasema hatutaki mazoea eti kwa kuwa waislam wanataka tuendelee kufanya kama zamani,
lakini kumbukeni katika sensa mwaka jana tulitetea kusema miaka mingi tumefanya sensa bila kuingiza kipengere cha dini kwa hiyo mazoea yalizuia kuweka kile kipengere cha dini sasa tunashindwa nini kuchukulia suala la uchinjaji ni mazoea na kuwaachia waislam waendelee kuchinja?