Makala za Mohamed Said Katika Mwananchi: Miaka 50 ya Uhuru wa Tanganyika

Mohamed Said

JF-Expert Member
Nov 2, 2008
20,921
30,267
Wanaukumbi,

Kuanzia leo Jumatano, 28 Septemba
Mwananchi limeanza "series" zangu na
za waandishi wengine kuhusu Miaka
50 ya Uhuru wa Tanganyika.

Tusomeni kwa furaha.

Mohamed Said


========================
UPDATE 29/09/2011
========================


========================
UPDATE 05/10/ 2011
========================


=========================
Update: 10/10/2011
=========================


=====================
UPDATE 13/ 10/ 2011
=====================

 
Uhuru gani unayouzungumzia Mkuu?, Sisi uhuru wetu wa kumtoa Kibanga Mwizi CCM bado haujatimia siku utakapo timia ndio tutakapokuwa na furaha. Naichukia sisiem mpaka inatia kinyaa. Mambo walioyafanya hwa Mijangili sisiem yanatosha. Tumeibiwa sana na sasa tunasema tumechoka Huyo Uhuru wenu nendeni mkasheherekeeni hukohuko na wajinga wenzenu.
 
Wanaukumbi,

Kuanzia leo Jumatano, 28 Septemba
Mwananchi limeanza "series" zangu na
za waandishi wengine kuhusu Miaka
50 ya Uhuru wa Tanganyika.

Tusomeni kwa furaha.

Mohamed Said

Uhuru wa Taifa ambalo halipo kwenye ramani ya dunia?
Viongozi wetu wanatumia pesa nyingi kuandaa sherehe
wakati wananchi wanaishi kwenye lindi la umasikini!
Hata hivyo, tunategemea kusoma changamoto nyingi
badala ya kuongozwa na fikra za udini au uchama...

keep it up...
 

Tutamtoa katika nchi gani, Tanzania au tutarudisha Tanganyika?
 
Suala la kusheherekea uhuru awapelekee watu wenye kufaidika na nchi!! Sisi bado hatujajitawala!!! Utasemaje tunajitawala wakati;
  • kundi moja la majangiri limejipa license to rule milele
  • hata tukijitahidi tutumie sanduku la kura, zinachakachuliwa
  • ukisema basi ujitahidi tu basi utafute maisha yako, hujafanya kitu kwani jamii iliyokuzunguka bado iko mikononi mwa majangiri,
Watu wanaopaswa kufurahia ni kama juzi meeting ya DICOTA, watu wakala wakaserebuka, wenye kulobby wakafanikiwa, wenye kutengeneza mazingira ya kutua kwenye maziwa na asali wakafanikiwa, ali muradi kila mtu alifanikiwa kivyake. Uzuri wao wakitoka hapo wanendelea na maisha yenye amani. Umeme bwerere, maji ndo duh, energy kama kawaida, wakifanya kazi kwa bidii matunda wanayaona.......to name few!!!

Wewe jiangalie hapa, usipoiba huendi popote!!! Na wakikukamata wewe ndo unakuwa mfano wao kuonyesha justice system ilivyokuwa imara...
Uhuru washeherekee wenyewe!! Toka miaka hiyo iliyopita sijawahi kusheherekea iweje leo!!! Ukisema lol, ngoja basi hata nijikumbushe historia yetu...unakuta imepindishwaaaa weeeeee ku-suite matakwa yao, ya nini sasa si basi niendelee tu na utaratibu wa kusubiri kesho, inayokuwaga bora ya jana........
 
msikimbilie kumhukumu mtu kabla hamjasoma makala zake,
kama itatokea zina mlengo wa udini hamlazimishwi kuzisoma...
Una mfahamu Mohammed Said au una msikia tu?
Jamaa anatetea msimamo wake wa kidini kama nini vile.
Utabishana naye page na page kwa vile kwake uhuru ni uhuru wa uislamu dhidi ya dini nyingine na si vinginevyo.
Kama humjui mPM.
 
Mohamed Said ana uhuru wa kuandika makala na kutoa maoni yake kama mtu mwingine yoyote yule

Sidhani kama GREAT THINKERS mtatishwa sana na mawazo na maoni yake. Ame mdini au asiwe mdini

Mwanakijiji alileta series zake hapa za 50 years ya uhuru na the same applies to Mohd Said
 
Mkuu Great Thinking entails an open mind and not an opinionated inclination of views.
Huyo bwana hautafika mbali sana na yeye kwani yeye si campaighner wa historia tu bali wa historia ya uislamu na uhuru wa Tanganyika.
Nimeliona gazeti alitajalo na sioni kama kuna mtazamo tofauti na yale ayasemayo hapa jamvini ie uhuru wa Tanganyika uliletwa na waislamu.
Period.
 
I am looking forward reading your article as it provides me with the other side of our history hidden by our utopian first leader Nyerere. Just a small advise Sheikh Mohammed Said will you be kind enough to provide us with your way of solving this problem (of religious bias in our society) as it may be useful in the future to provide a foundation of reconciliation structure and way forward to unite our country.
 
Una mfahamu Mohammed Said au una msikia tu?
Jamaa anatetea msimamo wake wa kidini kama nini vile.
Utabishana naye page na page kwa vile kwake uhuru ni uhuru wa uislamu dhidi ya dini nyingine na si vinginevyo.
Kama humjui mPM.

In all his writings, Mohamed Said has maintained that the Muslims were shortchanged by Mwalimu Nyerere after the country gained its flag independence and that now is the time for Muslims to rise up and claim what they believe was their right since 1961!! Jamaa ni mdini zaidi ya DAU wa NSSF!!
 


Mdondoaji.
Ahsante kwa mchango wako.

Niandikie: mohamedsaid54@gmail.com Insha Allah nitakuletea fikra zangu kupitia "paper" na mihadhara niliyotoa.

Mohamed
 
[1] Catholics form 76% of all members of Parliament the remaining 24% seatsare divided between Christians of other dominations and Muslims. Muslimscontrol a mere 6% of the seats. Most areas which are underdeveloped in Tanzania mainland are areas with Muslim majority like Kigoma,Tabora, Kilwa, Mtwara, Lindi etc. These areas are now re-examining themselvesand are gradually turning into local factions of radical Muslim politicsreminiscence of the era of nationalist politics of the 1950s. This could be asource of civil unrest in the very near future. Signs of this have begun toshow in the recurrent violent conflicts between Muslims and the government.Tanzania has experienced the Buzuruga Muslim-Sungusungu Conflict (1983), Pork Riots (1993) and MwembechaiUpheaval (1998). For more information See Hamza Mustafa Njozi, Mwembechai Killings and Political Future ofTanzania, Globalink Communications Ottawa, 2000. (The book is banned by thegovernment). In all these conflicts, Muslim blood has been shed. In betweenthese conflicts Muslims have sent several petitions to the governmentrequesting it to look into these problems but all of them have been ignored. Asa result of this Muslims from all regions of Tanzania met in Dar es Salaam atMasjid Tungi in 1990 and issued the Tungi Declaration which among other thingsstated that Muslim should prepare to defend their rights by all means even ifit means by force of arms.

(Nukuu hii inatoka kwenye mswada wangu "Christian Hegemony and the Rise of Muslim Militancy in Tanzania Mainland." Jamiiforums waliiweka asubuhi na wakaiondoa jioni.)
 

Ahsante kwa mchango wako.

Katika gazeti la Mwananchi la leo kuna makala zangu mbili
na kila moja nimeandika kwa staili yake.

Moja nimezungumzia Tanganyika chini ya Udhamini wa Umoja
wa Mataifa.

Makala ya pili nimejieleza mimi mwenyewe kama mtoto mdogo
wakati wa kupigani uhuru.

Nimeanza kwa kuhadithia nyumba kwa nyumba mitaa ya Gerezani
nilikozaliwa na kukulia nikieleza historia za wazee wangu walivyochangia
katika kupigania uhuru.

Sijui hili la Uislam liko sehemu gani. Tafadhali nifahamishe wapi umeliona.
Nimepitia upya makala hizo sikuona popote neno Uislam.

Mohamed
 

Who are radical muslim Mr Said ?I think dar esalaaam was supposed to be in the list if the author was to be trusted on his view and analysis abut areas with radical muslim.

Otherwise it just show how Mr Saidi is using some statistics without detailed analysis to promote the same radicalism agenda.

 
<br><br>

Thubutu! Huyu ndo muasisi wa udini Zanzibar

Nitashukuru endapo utanifafanulia zaidi ili nipate kukupa jibu ukipenda.

Ila nitakufungulia kwa ufupi ili uongozeke.

Mimi ni Mmanyema wa Dar es Salaam sina uhusiano wowote na Unguja.

Mohamed
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…