Makala ya kiuchunguzi kuhusu 'Sakata la Dkt Mwele Malecela' na ZIKA

sioni kama kuna kuonewa hapo, announcement kama ile ni dhahiri ingeleta panic kwa watanzania na watalii kwa ujumla, kama swala lenyewe ni pendemic, wanetangaza kama ilivyotangazwa Hepatitis B, kusingekuwa na mshtuko wowote, japo kwa upande wa pili mshtuko mkubwa umesababishwa na prompt reaction ya kumsimamisha kazi, kama wakubwa huko juu wangepuuza lile tamko, lisingekuwa na athari zozote, kama adhabu ingetolewa mbele ya safari, hata mwezi kabla.
Kwa upande mwingine message imetumwa kwa viongozi wote kuacha kuropoka ropoka kwenye media, maana matamko yalizidi, sasa matamko yakaanza ingia kwenye afya, now washaakaa kimya, hakuna matamko tena.
Mnavyopenda kuburuzwa hadi mnatia kinyaa. Eti maCEO wote kuacha kuropoka. Uko timamu kweli wewe?
 
Hii nchi kwasasa hatutaki kusikia ukweli ukitoka kwa mtu mwingine yeyote isipokuwa moja tu, yeye ndiye mwenye ukweli kuhusu mambo ya taifa hili. Kuanzia kufichwa kwa sukari na pesa
Na kila ukwei wake unakua madhila kwa watu. Anzia sukarini hadi fedhani
 
Aiseee, mwandishi acha porojo zako mara oooh oooh, Dr. Malecela ni mwanamke,
oooh oooh, mara mwanasayansi wa kimataifa aende akalipwe nje , hizo porojo hazisaidii tuambie zika Ipo kama ya Brazil , ni mlipuko au ni nini kipo?

Shirika la afya suniani [WHO], wamesema haipo,

Wizara kupitia waziri husika kasema hakuna ZIKA.

Sasa hapo nani tumuamini hasa kwa jambo hili, je ni wewe? Dr. Malecela au Wizara ama basi WHO?

Ama ni wimbo ule waitwa --- Kigeu geu ?
 
Aiseee, mwandishi acha porojo zako mara oooh oooh, Dr. Malecela ni mwanamke,
oooh oooh, mara mwanasayansi wa kimataifa aende akalipwe nje , hizo porojo hazisaidii tuambie zika Ipo kama ya Brazil , ni mlipuko au ni nini kipo?

Shirika la afya suniani [WHO], wamesema haipo,

Wizara kupitia waziri husika kasema hakuna ZIKA.

Sasa hapo nani tumuamini hasa kwa jambo hili, je ni wewe? Dr. Malecela au Wizara ama basi WHO?

Ama ni wimbo ule waitwa --- Kigeu geu ?


Mkuu:
Wacha Porojo " Tafiti hukanushwa kwa Tafiti"
 
Kiukweli umeandika thread ndefu isio na mantiki yeyote kwa taifa wala wewe mwenyewe
Huku nikujilisha upepo.
 
Kilichomwondoa Dr Mwele ni siasa ya kuviziana! . Harakati ya siasa ndani ya Chama ya Lumumba presha zake bado iko Juu.

DR. Mwele Malechela nae achukua fomu ya kugombea Urais wa JMT
UrlAdvisorGoodImage.png
 
Hapo penye nyekundu. Kwanza niliamini hivyo na nikamtetea Dr. Mwele mpaka pale nilipoona video ambayo alisema kwa mdomo wake (sidhani kama ni photoshop) kuwa - UGONJWA WA ZIKA UKO TANZANIA. Labda kama alijichanganya hapa-kitaalamu hata kesi moja ikitokea mahali ambapo ugonjwa ulikuwa haupo na haukutegemewa kuwapo-ni sawa na kusema kuna mlipuko (ingawa naamini haikuwa nia yake kutangaza mlipuko). Ni wazi kama nimemsikia vizuri kosa lilitendeka ingawa siamini kama yote yaliofuatia ni sahihi. Waziri, makamu wake na mganga mkuu nao walijaribu kutuaminisha kuwa lile andiko lilihusu kujaribiwa kwa "kipimo" cha kuonyesha uwepo wa kirusi (kama sikosei) lakini ule muhtasari wa andiko ulioweka haukulizungumzia hilo. Nafikiri nao walipotosha kwa sababu wanazozijua wenyewe.

Mweshimiwa Masiya,
Kuna tofauti gani ya KUWEPO UGONJWA WA ZIKA NA KUWEPO VIRUSI VYA ZIKA?
Huwezi kusema utafiti unaonyesha kuna virusi vya ugonjwa husika lakini wakti huohuo unasema ugonjwa haupo! Hii haingii akilini hata kidogo!
Ni sawa na mtu amepima akaonekana ana vijidudu vya Malaria lakini ukasema hana Malaria! Lakini hali ikiwa mbaya na kupelekea kifo ndipo daktari aseme kafa na Malaria!That' s is the picture.
Tukubali tu kwamba kilichomtokea dada yetu Mwelle ni uonevu na ukurupukaji wa JPM! Lakini pia yawezekana kuna kitu nyuma ya pazia kisiasa ukizingatia Waziri wa Afya hana sifa za dada Mwelle!!!!
Inaonekana Rais ana hasira na huyu mdada kwa vile naye alitangaza nia ya kugombea Urais kwa tiketi ya CCM na ana sifa kuliko hata mkulu ukizingatia kuwa ni daktari wa uhakika anayeaminika kimataifa kuliko JPM! Kwa hiyo mkulu anataka kum-frustrate huyu mdada na Familia yote ya Mzee Malechela! Kwanza alianza na Mama Malechela mwenyewe alipotenguliwa Ukuu wa mkoa wa Shinyanga! Hivo huu ni mwendelezo tu wa kisasi hicho!!!Sijui Mzee Malechela anajisikiaje hapo alipo na anamchukulia vipi huyu Rais wa A5?????
 
Sasa analinda mwanasiasa kwa faida ya nani? Na wewe unakubali mwanasiasa ambaye anafitini wengine mpaka wanafukuzwa kazi aendelee kulindwa? Gosh!

Hiyo sheria unayosema haijaelezea guideline ya information and communication kwa wananchi kuhusu masuala kama zika.

Hufahamu kama NIMR iko chini ya Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto.

Kwa usomi wake na hekima zake alitakiwa afahamu ukubwa wa kutoa information kama hizo bila kuwa na waziri mwenye dhamana katika meza moja hasa kwenye jamii ya watu wengi ambao hata hawafahamu tofauti ya mlipuko wa ugonjwa na uwepo wa virus za ugonjwa.

Nadhani ulisoma kilichoandikwa na magazeti huku habari ikidakwa na vyombo vya habari vya nje ya nchi.
Kama umesoma vizuri habari ya huyu mleta mada, naamini umesoma mahali aliposema kuwa taarifa ilishapelekwa kwa waziri husika miezi minne kabla ya Mwele kuongea na media na wizara ilikiri kupokea taarifa hiyo (kwa mujibu wa bandiko). Sasa ulitaka Waziri aitwe tena kufanya nini wakati taarifa alikuwa nayo tayari!?
 
Mwele Ntuli Malecela - Wikipedia
UrlAdvisorGoodImage.png

Wikipedia, the free encyclopediaMwele_Ntuli_Malecela
Born, (1963-03-26) March 26, 1963 (age 53) Dar es Salaam. Nationality, Tanzanian. Occupation, Director General of NIMR. Years active, 1987-2016. Political party, CCM. Religion, Christian. Mwele Ntuli Malecela (born March 26, 1963) is the Director General of the Tanzanian National ... party membership required an entrance course, which Dr. Malecela attended ...


By 2020-1963= 57yrs. Kama mwanamama bado anafaa kuonyesha Uwezo.
 
Aiseee, mwandishi acha porojo zako mara oooh oooh, Dr. Malecela ni mwanamke,
oooh oooh, mara mwanasayansi wa kimataifa aende akalipwe nje , hizo porojo hazisaidii tuambie zika Ipo kama ya Brazil , ni mlipuko au ni nini kipo?

Shirika la afya suniani [WHO], wamesema haipo,

Wizara kupitia waziri husika kasema hakuna ZIKA.

Sasa hapo nani tumuamini hasa kwa jambo hili, je ni wewe? Dr. Malecela au Wizara ama basi WHO?

Ama ni wimbo ule waitwa --- Kigeu geu ?
Hao wawakilishi wa WHO na huyo Waziri mbona wao hawajasema mikoa waliyofanyia utafiti wala idadi ya watu wazima na watoto waliochunguzwa na kukuta haupo!?
 
Kwanini alijiingiza kwenye siasa???? That was the biggest mistake ever!!! Siasa za bongo???
 
Alafu audience yenyewe kweli alitegemea wangeweza kuelewa tofauti kati ya mlipuko na uwepo wa virusi? Was it so necessary kutangaza utafiti huo kwa hiyo lugha ngumu aliyotumia?

Tuache kuwa subjective na kupenda ku twist vitu bila sababu...neno zika ni zito kulitamka ilipaswa kama experienced personnel ku perceive aftermath ya matangazo yake hasa kwa cheo alichokuwa nacho....Lazima tujue na tuweze ku assess audience na consumers wa information zetu....Kuwajibika pia ni sehemu ya integrity...Angefukuzwa kazi hapo ndiyo tunge nyanyuka lakini kutenguliwa ni sehemu ya uwajibikaji....Hata baada ya kuona kuwa ulichokifanya hakistahili au kimeleta usumbufu wa bila sababu kwa mwingine kuonyesha uwajibikaji angeweza kuamua kuwajibika hata bila kuwajibishwa...Hii inatoa angalizo na penginevku set stds wa umakini katika kauli zao kwa ma CEO wa public institutions zote..Hiyo ni positive side na inamwongezea integrity yake....Ningekuwa mimi ningekubali na kuona niliabgukia wapi na kuwajibika alafu nikajipa nafasi ya kufanya zaidi kwaajili yangu na nchi yangu....Ngumu lakini ndivyo wenzetu walivyojijengea kuaminika hasa kwa mtu wa nafasi ya juu!
Mkuu, umesema yote!
 
  • Thanks
Reactions: Ame
.....tugange yajayo!! Mnatafuta nn kwani?
Kwa nini tugange yajayo? Tunataka Rais awe anatulia kwanza, anafanya uchunguzi ili kuepuka kuonekana hakutenda haki. Dr. Mwele ni Mtanzania aliyejituma kufikia kiwango cha juu namna hiyo. Haiwezekani kwa mfano Jenerali wa Jeshi ahangaike kwa miaka 30 tangu ukuruta halafu umharibie kwa dakika moja kisha unateua mbadala wake kesho yake asubuhi kana kwamba ulipanga kufanya hivyo mapema!!!
 
Kuna hii sharia nyingine inayomruhusu waziri pekee kutangaza habari za mlipuko wa magonjwa kwa jamii.. pengine waliona labda taarifa yake hiyo ilipokelewa kwenye jamii kama ni mlipuko wa zika inchini..

lakin pamoja na hayo, ukurugenzi ni cheo cha kuteuliwa tu. tuubali tu rais anayo mamlaka ya kuteua na kutengua kikatiba, bila kujali ameonewa au hajaonewa. anao uwezo wa kuamka leo akasema mkurugenz wa tanesco nabadilisha naweka mwingine. hata kama aliyepo hana kosa. namheshim sana dr mwele pia nauheshimu uamuz wa dr magu. tuishie hapo tu tusonge mbele..

sheria hii hapa..
Ni upuuzi gani huu ulioandika hapa?
 
Back
Top Bottom