CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,387
- 6,481
Ukifahamu kama kuna kuingiza ujue kuna na kutoa vile vile. Mimi niko kwenye kamati ya kanisa lililoko mjini, makusanyo ya sadaka ni kidogo sana ukilinganisha na matumizi - mishahara, umeme, ulinzi, vifaa vya ibada mara si mara moja matumizi ya kawaida kugharamiwa na michango ya maendeleo kama harambee za ujenzi.
Mleta mada vile vile ukumbuke wale wanaomzunguka Gwajima na suti zao nao wana familia zao zinazohitaji kuhudumiwa vizuri na hizo hizo sadaka
wanaosali unawaita mazombi! eheee.. wewe unayetajirisha wauza gongo na wamiliki wa madanguro tukuiteje? halafu uwe unafanyia tafiti taarifa b4 barking...kama watu wanashinda pale asbh till night..then wanakula mawe? hawasomeshi? wanatafuta saa ngapi hela japo za nauli ya kuwafikisha church? kichwani umejaza makamasi? can't u think? kha! ni kwamba ktkt ya wk zipo ibada rasmi 3, na zinakuwa jioni, saa 12 jioni-1:30/2 ucku. na ya j2 ndo ibada ndefu, inaisha kwenye saa 8 au zaidi au b4 saa 8. otherwise kama mtu ana maombi yake anaenda kwa muda wake kutokana na ratiba yake! Mbona katoliki kuna ibada kila siku,huoni shida? shida ni walokole! Halafu pole sana kwa kuita ibada UJINGA! ipo siku utaziona za thamani, nakuapia. nawafahamu wengi waliokuwa na dharau kuliko wewe, tena walikuwa juu kimaisha(sio ww mbeba mizigo) lakini leo hii........endelea, kabla ya kwenda jehanam utaelewa tu
Wanabodi,
Kama ni kweli Ngwajima ana waumini wasiopungua elfu sabini na wanaenda kanisani mara mbili kwa wiki basi Ngwajima anaingiza zaidi ya bilioni tatu kwa mwaka (makadirio ya chini kabisa)
NI HIVI:
Tufanye kila muumini wake hutoa sadaka ya sh. 500 tu-hiyo ni flat rate, ina include waliotoa elfu kumi, waliotoa sh mia na wasio toa kabisa.
Hivyo basi kwa siku moja kwa waumini 70,000 wakitoa sh 500 ni sawa na sh milioni 35. Kwa wiki wanaenda mara mbili hivyo ni sawa na sh milioni 70.
Kama kwa wiki anaingiza milioni 70, je kwa mwezi anaingiza kiasi gani? Uki cross multiplication utapata milioni 280
Kama kwa mwezi anaingiza milioni 280, je kwa mwaka anaingiza kiasi gani? uki cross tena multiplication utapata bilioni 3 na milioni 360. Sasa piga hesabu kwa miaka yote aliyotoa huduma ameingiza sh ngapi?
Kwa mantiki hiyo pesa aliyonunulia Hummer aliipata ndani ya mwezi mmoja tu.
Achilia mbali fungu la kumi na pesa mbali mbali anazopewa kama zawadi, hapo tumepiga hesabu ya sadaka tu.
NAMALIZIA, Biblia inasema "vya madhabahuni vitaliwa na wamadhabahuni" full stop.
Posted by: MCHUNGUZI HURU (Associate Professor)
wanaosali unawaita mazombi! eheee.. wewe unayetajirisha wauza gongo na wamiliki wa madanguro tukuiteje? halafu uwe unafanyia tafiti taarifa b4 barking...kama watu wanashinda pale asbh till night..then wanakula mawe? hawasomeshi? wanatafuta saa ngapi hela japo za nauli ya kuwafikisha church? kichwani umejaza makamasi? can't u think? kha! ni kwamba ktkt ya wk zipo ibada rasmi 3, na zinakuwa jioni, saa 12 jioni-1:30/2 ucku. na ya j2 ndo ibada ndefu, inaisha kwenye saa 8 au zaidi au b4 saa 8. otherwise kama mtu ana maombi yake anaenda kwa muda wake kutokana na ratiba yake! Mbona katoliki kuna ibada kila siku,huoni shida? shida ni walokole! Halafu pole sana kwa kuita ibada UJINGA! ipo siku utaziona za thamani, nakuapia. nawafahamu wengi waliokuwa na dharau kuliko wewe, tena walikuwa juu kimaisha(sio ww mbeba mizigo) lakini leo hii........endelea, kabla ya kwenda jehanam utaelewa tu
Mahesabu feki kwa Mchunguzi feki, aingii akilini watu 70,0000 wakati hata elfu kumi hawafiki.
hivi unaelewa unaposema watu elfu sabini ,anakanisa la ukubwa gani au eneo la ukubwa gani?,acheni kuleta hapa porojo
ewe Zombie usiwe -----! Mungu yuko hadi hapo ulipo! Haihitaji sadaka yako umtolee Gwajima anunue Chopper za kuwalamba wake za watu ... Kuwa na Imani kuu kuwa Mungu yuko nawe katka kila ulitendalo na yeye ataendelea kubariki kazi za mikono yako!!! Vitisho na Sanaa zote mnazo fanyiwa ni ktk kuendeleza U-Zombie tu ili mtoe sadaka Zaidi ...
nini zombie niite majina yote! haitabadilisha uhalisia wangu! tukana kwa raha zako! ila ipo siku utagundua umuhimu wa ibada! hilo nakuhakikishia! ni kweli Mungu yupo kila mahali lakini nikujulishe tu...Mungu amesisitiza watu kukutanika kwa ajili yake! kama wewe hauoni huo umuhimu, sawa, unapingana na neno la muumba wako, mimi hainisumbui. Na kama wewe unaona watu kutoa sadaka kanisani ni vibaya..tuko palepale...unapingana na neno la muumba wako alisema tupeleke dhabihu na sadaka nyumbani mwake ili kiwepo chakula, soma kitabu cha malaki in Bible kama unayo. Na kama inakuuma sana wachungaji kuwa na mafanikio...na wewe anzisha kanisa...watapatikana mazombie wa kukuletea sadaka ununue chopa. ila sikutishi, nakuhakikishia 100%, yaja siku utakayotambua umuhimu wa ibada, ambazo leo unaita ujinga!
Wewe hujitambui kuwa unaliwa! Na ndiyo tatizo la walokole. Huyo Gwajima uaskofu alimpa nani? Anaamka anjiita askofu, mtume, nabii and the like!
Wanabodi,
Kama ni kweli Ngwajima ana waumini wasiopungua elfu sabini na wanaenda kanisani mara mbili kwa wiki basi Ngwajima anaingiza zaidi ya bilioni tatu kwa mwaka (makadirio ya chini kabisa)
NI HIVI:
Tufanye kila muumini wake hutoa sadaka ya sh. 500 tu-hiyo ni flat rate, ina include waliotoa elfu kumi, waliotoa sh mia na wasio toa kabisa.
Hivyo basi kwa siku moja kwa waumini 70,000 wakitoa sh 500 ni sawa na sh milioni 35. Kwa wiki wanaenda mara mbili hivyo ni sawa na sh milioni 70.
Kama kwa wiki anaingiza milioni 70, je kwa mwezi anaingiza kiasi gani? Uki cross multiplication utapata milioni 280
Kama kwa mwezi anaingiza milioni 280, je kwa mwaka anaingiza kiasi gani? uki cross tena multiplication utapata bilioni 3 na milioni 360. Sasa piga hesabu kwa miaka yote aliyotoa huduma ameingiza sh ngapi?
Kwa mantiki hiyo pesa aliyonunulia Hummer aliipata ndani ya mwezi mmoja tu.
Achilia mbali fungu la kumi na pesa mbali mbali anazopewa kama zawadi, hapo tumepiga hesabu ya sadaka tu.
NAMALIZIA, Biblia inasema "vya madhabahuni vitaliwa na wamadhabahuni" full stop.
Posted by: MCHUNGUZI HURU (Associate Professor)
nazo ni kubwa vilevile kumpeleka Flora Mbasha vacation visiwa vya Malta hukoTuwekee na makadirio ya matumizi a.k.a gharama za uendeshaji.
Zombie wewe angalia usije ukashindwakuwaachia wanao urithi kwa kuendekeza u-zombie ... Mungu amekupa akili ili ujitambue ... Mtu analamba wake za watu, anakula anasa kwenye chopper.... ninyi mnaendelea kumjazia sadaka as if hamjui kuwa kuna watoto yatima, kuna wazee na wasiojiweza... Kiasi unachokitoa kwa siku hapo kwa Gwajima kitumie kumsomesha motto mmoja tu na Bwana Mungu wako atakubariki sana ..
Unamjua Mungu?...acha unafiki! siishi kwa kufata story za vijiweni, kwenye masaloon na magazeti ya udaku! hizo tuhuma hazina hata prove yoyote so haziwezi kunifanya nimtukane Gwajima. And soon nitahamia kanisani kwake coz nimemfatilia sana na nimeridhika kuwa ni mtumishi wa Mungu tena jasiri! na nimehudhuria baadhi ya ibada zake nikabarikiwa sana. Na kama issue ni utakatifu wa viongozi..then mbona hujahama unapoabudu..viongozi wako wana kashfa dunia nzima ya kulawiti watoto wanaotumikia kanisani! kiasi kwamba marehemu papa John Paulo 11, aliwahi kukiri hilo tatizo! je, mbona hujahama kanisa? au kwako sio issue? kuniita mm zombie sio issue coz it can't change anything! bt kusema ibada ni ujinga...UTAVUNA TU!
Zombie ni Zombie tu... endeleza U-Zombie wako uone kama wanao watarithi chochote kutoka kwako...