Kasimba G
JF-Expert Member
- Jan 19, 2011
- 3,428
- 2,613
Kwa mtazamo wangu, ningetegemea makamanda wa CHADEMA, wangekuwa watetezi wa mitazamo, maono na sere za CHADEMA, na ndivyo walivyo!
Na vivyohivyo makada wa CCM, nao wangekuwa watetezi wa maono, mitazamo na sera za CCM, lakini kila ninapoingia mitandaoni naiona CHADEMA zaidi ikitangazwa kwa staili tofauti kutoka pande zote yaani CCM na CHADEMA, my conclution nimegundua kuna makamanda wa CHADEMA na makada wa CHADEMA, kutegemea na jinsi mtu husika anavyo wasilisha maada yake kuhusu CHADEMA.
Makamanda, tuwapendeni hawa ndugu zetu makada wa CHADEMA.
Na vivyohivyo makada wa CCM, nao wangekuwa watetezi wa maono, mitazamo na sera za CCM, lakini kila ninapoingia mitandaoni naiona CHADEMA zaidi ikitangazwa kwa staili tofauti kutoka pande zote yaani CCM na CHADEMA, my conclution nimegundua kuna makamanda wa CHADEMA na makada wa CHADEMA, kutegemea na jinsi mtu husika anavyo wasilisha maada yake kuhusu CHADEMA.
Makamanda, tuwapendeni hawa ndugu zetu makada wa CHADEMA.