johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,992
- 142,009
Kada wa CCM na Mwandishi nguli wa Habari Maulid Kitenge amesema Makada ndani ya CCM wanataka wale wote Waliotaka kuzuia Urais wa Dkt. Samia Wabanwe
Kitenge amesema Makada hao hawajafafanua Ubanaji huo uweje
Source: Wasafi Media