Mr Chromium
JF-Expert Member
- Aug 20, 2020
- 2,090
- 2,705
Huu huzi si wa ukabila ,, lakini ni chachu kwa mwanaume wap kwa kwenda kuoaUsije ukasema wanao vichwa vizito!!
Kadiri ya utafiti uliofanywa na marekani haya ndio makabila yenye watu wenye akili zaidi Africa
1. Kabila la Igbo , Nigeria,
2.Kabial la Lebou, Senegal,
3.Kabila la Gurage ,Ethiopia,
4.Kabila la watutsi , Africa ya kati
5. Kabila la Venda,South Africa
Wenye uwezo nendeni Nigeria ,, hao jamaa dunia nzima inawaheshimu.
Nimegundua kwanini Hata swala la muungano Kwa nini Linasumbua….Wameshikilia udini,uarabu, na uniniii…..
Kadiri ya utafiti uliofanywa na marekani haya ndio makabila yenye watu wenye akili zaidi Africa
1. Kabila la Igbo , Nigeria,
2.Kabial la Lebou, Senegal,
3.Kabila la Gurage ,Ethiopia,
4.Kabila la watutsi , Africa ya kati
5. Kabila la Venda,South Africa
Wenye uwezo nendeni Nigeria ,, hao jamaa dunia nzima inawaheshimu.
Nimegundua kwanini Hata swala la muungano Kwa nini Linasumbua….Wameshikilia udini,uarabu, na uniniii…..