Makabila yenye akili nyingi Afrika

Mr Chromium

JF-Expert Member
Aug 20, 2020
2,090
2,705
Huu huzi si wa ukabila ,, lakini ni chachu kwa mwanaume wap kwa kwenda kuoaUsije ukasema wanao vichwa vizito!!

Kadiri ya utafiti uliofanywa na marekani haya ndio makabila yenye watu wenye akili zaidi Africa

1. Kabila la Igbo , Nigeria,
2.Kabial la Lebou, Senegal,
3.Kabila la Gurage ,Ethiopia,
4.Kabila la watutsi , Africa ya kati
5. Kabila la Venda,South Africa

Wenye uwezo nendeni Nigeria ,, hao jamaa dunia nzima inawaheshimu.

Nimegundua kwanini Hata swala la muungano Kwa nini Linasumbua….Wameshikilia udini,uarabu, na uniniii…..
 
Tupo 2024 mnajdili kabila gani lenye Akili?

Tunajitapa na Ukabila? huu ni Upumbavu.

Mwl. Julius K. Nyerere akiwahutubia wahudhuri wa Mkutano mkuu wa CCM Dodoma mwaka 1995, aliwahi kuligusia suala hili la ukabila na jinsi linavyoathiri "Fikra" na "Mafikirio" ya Mtanzania, na nita mnukuu hapa kiunagaubaga- bila mpangilio maalum,

Nyerere alimaka....

"...Faida ya makabila iliyobaki ni kufanya matambiko tu...!

"Watanzania wanafikiri ni jambo la maana sana kujua kabila la mtu. Mnataka kutambika?" aliuliza Nyerere

"Katika nchi ya watu wazima, kabila lina maana gani nyingine?" Nyerere aliyasema hayo kwa masikitiko makubwa na kuongeza.....

"Tanzania ya leo, mnazungumzia Ukabila?"

"Mnazungumza lugha ya makabila?"

Mwl Nyerere aliwaasa na kuwaonya wajumbe na wananchi


"...tunataka, mtuchagulie mtu, ambaye anajua kwamba huko ni upumbavu na ni hatari.....hukooo"

Sasa tumefika 'hukoooo' alipokuwa anatuonya Rais Julius Kambarage Nyerere.

Tunapoleta na kujadili ukabila ni Upumbavu.


Amani ikutawale
 
Huu huzi si wa ukabila ,, lakini ni chachu kwa mwanaume wap kwa kwenda kuoaUsije ukasema wanao vichwa vizito!!

Kadiri ya utafiti uliofanywa na marekani haya ndio makabila yenye watu wenye akili zaidi Africa

1. Kabila la Igbo , Nigeria,
2.Kabial la Lebou, Senegal,
3.Kabila la Gurage ,Ethiopia,
4.Kabila la watutsi , Africa ya kati
5. Kabila la Venda,South Africa

Wenye uwezo nendeni Nigeria ,, hao jamaa dunia nzima inawaheshimu.

Nimegundua kwanini Hata swala la muungano Kwa nini Linasumbua….Wameshikilia udini,uarabu, na uniniii…..
Kichekesho Afrika hadi leo hatujawahi kutengeneza chanjo, acha utawala bora. Sijui hayo makabila wanapeleka wapi hizo akili.
 
Huu huzi si wa ukabila ,, lakini ni chachu kwa mwanaume wap kwa kwenda kuoaUsije ukasema wanao vichwa vizito!!

Kadiri ya utafiti uliofanywa na marekani haya ndio makabila yenye watu wenye akili zaidi Africa

1. Kabila la Igbo , Nigeria,
2.Kabial la Lebou, Senegal,
3.Kabila la Gurage ,Ethiopia,
4.Kabila la watutsi , Africa ya kati
5. Kabila la Venda,South Africa

Wenye uwezo nendeni Nigeria ,, hao jamaa dunia nzima inawaheshimu.

Nimegundua kwanini Hata swala la muungano Kwa nini Linasumbua….Wameshikilia udini,uarabu, na uniniii…..
Namber Yine
 
Huu huzi si wa ukabila ,, lakini ni chachu kwa mwanaume wap kwa kwenda kuoaUsije ukasema wanao vichwa vizito!!

Kadiri ya utafiti uliofanywa na marekani haya ndio makabila yenye watu wenye akili zaidi Africa

1. Kabila la Igbo , Nigeria,
2.Kabial la Lebou, Senegal,
3.Kabila la Gurage ,Ethiopia,
4.Kabila la watutsi , Africa ya kati
5. Kabila la Venda,South Africa

Wenye uwezo nendeni Nigeria ,, hao jamaa dunia nzima inawaheshimu.

Nimegundua kwanini Hata swala la muungano Kwa nini Linasumbua….Wameshikilia udini,uarabu, na uniniii…..
Kuna watu umewalenga hapa kuwa wazi
 
Back
Top Bottom