Majuto: Sitatongoza mtandaoni tena

,ndege wafananao huruka pomoja.
 
Unatubu kwa lipi?
Sifa ya mwanamke kwanza awe na papuchi. Inamaana huyo hakuwa na hicho cha msingi?
Tatizo mnaweka expectations nyingi. Siyo ajabu na yeye amejutia kukutana na wewe.
 
Ur just say that bse ur not a man.first we tempted then love..i can be tempted by ur avatar then nikajenga taswira how carha look like naamua kukutokea at the end nikikuona ur away frm my imagination ndicho kilichomkuta mleta thread..
Acha kupost kwakingereza kama hujui
 
Lakini mkuu, Mwajuma huyo huyo wa kimbangulire mkishaachana si ndo huyo huyo anakuomba vocha afu anaingia mtandaoni na mnakutana tena?
 
Kwa hiyo hata ile namba ya simu unayoniomba pm, utaki tena?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…