Majuto: Sitatongoza mtandaoni tena

Majuto: Sitatongoza mtandaoni tena

Sio akili za kitoto tatizo ukidanganya, kujikweza uendane na uhalisia wako, sio kutwa nzima unaponda wanaume mara hivi kumbe mwenyew unayeponda huna lolote. Ni ajabu mtu anawaponda wanaomiliki vits wakati hana hata baiskel ya mbao huo ni uzwazwa. Unajikoki kukutana na mtoto classic kumbe kumbe.....Kuwa kama ulivyo ila kufake na kuponda wengine ni mbaya sana.
Hahahaaa. Nimejifunza si kila Me ni wa kukurupuka tu kuzoweana naye + makubaliano ya kuonana maana inavyoonekana walio wengi wana akili za kitoto.
 
Sio akili za kitoto tatizo ukidanganya, kujikweza uendane na uhalisia wako, sio kutwa nzima unaponda wanaume mara hivi kumbe mwenyew unayeponda huna lolote. Ni ajabu mtu anawaponda wanaomiliki vits wakati hana hata baiskel ya mbao huo ni uzwazwa. Unajikoki kukutana na mtoto classic kumbe kumbe.....Kuwa kama ulivyo ila kufake na kuponda wengine ni mbaya sana.
Usijali Mkuu. Naona umenijia juu ghafla duuuhhh.

Pole sana Mkuu jitahidi kuwaelewesha wakuelewe maana mi si mmoja wao. Bye.

🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️
 
Hahahaaaa, ombi lako limefika mkuu na linachakatwa kisha majubu yatatolewa wakati muafaka mkuu

Jibu laweza kua la moja kwa moja au laweza kua swali na lenyewe, kwa hiyo jiandae kwa aina yeyote ya jibu mkuu
Hahahaha ,Mkuu mie niko tayari kwa lolote,muhimu isiwe kizingiti cha Mimi kushindwa kuonana na mtani Wangu Hajar

Ndio maana nituma 'ombi' kwako tena 'ombi rasmi'

Bado matumaini yangu ni kwamba utamruhusu bila vikwazo vyovyote

Ahsante kwa ushirikiano
Merci boucou
 
Ni mjinga tu atakayevutiwa na avator yangu ka kigezo chake alichokiweka kichwani, eti ndo aamini ndo uzuri, so childish for sure loh.
Lakini kwanini usiweke picha ama Avatar halisi ili kuepusha utata??
 
Hata uko fb ndo yaleyale...unamuona mtu kapendeza...sasa kutana nae live utashangaa
Huu Mtandao tunatumia fake identity mkuu kwenye page zetu za fb na ig ndo tunajipost hadharani
 
Back
Top Bottom