Majuto: Sitatongoza mtandaoni tena

Majuto: Sitatongoza mtandaoni tena

Watu wa Jf baadh mna taabu sana jaman
Kama hajakuvutia mwache endelea na safar tafuta mwingine
Na yy atampata akayevutiwa nae basi
Kwann taabu zote na maneno yote
Vile ambavyo yy hajakuvutia hata ww wako ambao hawavutiwi na ww pia
Pacha pacha pacha pachaaaaa.

Huu mtupano hata Mungu hapendi ujue. Haya aliyekuficha mwambie nina kesi naye kwa kweli.

Mambo zako?
 
Shida ni mtu anakuja pm then later anaeneza upuuzi wake, mjinga ka huyo unamfanyaje?
My dear ndo vile nlivyokwambia sisi tunatofautiana na unaweza siku mtu akakuchafua hata bila kukosana nae.

Cha umuhimu kwako ni kuignore wakati ukijua kua huo ni upuuzi japokua moyoni itakua tofauti.
 
Back
Top Bottom