Majuto: Sitatongoza mtandaoni tena

We mama utakuwa garasa halafu mashauzi kama yote

jikubali tu usijipe usivyonavyo
 
Inawezekana pia
Ujumbe tumeupata.. ndo maana mimi sitaki kuwakonfyuz wapenzi watazamaji naweka avatar yangu au ninayo fanana nayo siku hizi. Niliweka avatar ya mdada mweusi siku mtu kaniona akaniambia alijua na mimi nitakua mweusi kama ile avatar. Nikasema sasa yale mambo ya kuwaaminisha watu mimo beyonce kumbe ebitoke yaishe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…