Wewe sio wote na mmkome mnawatakaga hao halafu mnaishia kubaya kabisa yaone mkishindwa jamani nimetapeliwa nimehivi vile komeni .
Na wengine yanawaoa hawajui kupika wala kutunza mume wao ni cmu nakujiremba wewe umepauka kama nini mtakoma.
Kaeni na shida zenu.
Msituletee wengine tunaohata sisi presha na stress zetu sio zenu kila mara hili lile kwaajili ya warembo ai .
Navyojua kusifia sasa.
Unaweza kumgomea hezibend leo kuingia jikoni kisa utachafuka.
Haya rusha nasubiri.
Magalasa yanatamani yakujue yaponde....haki umejua kunichana mbavuu!
Tuma basi tufunge huu mjadala.usinifanya hiyo picha niitume hapa iliunisifie hadharani hapa
Acha yaniponde kimoyomoyo ila tu wapunguze kijishebedua wasivyonavyo na kuponda wanaume wakati yenyewe mabovu
...na huwezi kuwa mzuri ukajitangaza! Wazuri hawajitangazagi wala kuweka mabango!...lazima kutakuwa na kasoro inayokutuma kujishow off!
Haya tiririsha sifa sasaTuma basi tufunge huu mjadala.
Ngoja niendelee kuwaza
Kuna haja ya kusoma comments zote au nianzie hapa hapa ??
Waza tu utapata jibu.... Tunawapenda bana dada zetu tunatania tu najua na mtoa mada anafanya utani tu
HahahahaHata kama utani ila kuna kaukweli ndani yake
Inawezekana piaHata kama utani ila kuna kaukweli ndani yake
Irish descent tu mkuu, lazima mtu afanye imagination tu asee...na huwezi kuwa mzuri ukajitangaza! Wazuri hawajitangazagi wala kuweka mabango!...lazima kutakuwa na kasoro inayokutuma kujishow off!
Sema kweli jamaniTena wenye sura ngumu huwa wana papuchi nzuri sana
Irish descent on fleekIrish descent tu mkuu, lazima mtu afanye imagination tu asee
Inawezekana pia
Ujumbe tumeupata.. ndo maana mimi sitaki kuwakonfyuz wapenzi watazamaji naweka avatar yangu au ninayo fanana nayo siku hizi. Niliweka avatar ya mdada mweusi siku mtu kaniona akaniambia alijua na mimi nitakua mweusi kama ile avatar. Nikasema sasa yale mambo ya kuwaaminisha watu mimo beyonce kumbe ebitoke yaishe.Hahahaha