Majuto: Sitatongoza mtandaoni tena

Naogopa kumsema mtu kwa sura yake saana naona kama namdhalilisha.

Mfano kama nimekutana na mwanamke humu hata kama nimboovu...akinitumia picha namsifia tena saana.

Hakuna jambo mbaya kama kumwqmbia mtu u mbaya.

Itamuuma.
Ur correct vtu vingine ni kuvimezea tu wallah
 
We nawe una dataaa khaah. Haya huyo mjukuu wake anaitwa nan?
Kisu labda yule mjukuu wako, kidogo alikuwa kisu ila naye malingo yake huku Jf hayakuendana na maisha yake halisi.
 
Kisu labda yule mjukuu wako, kidogo alikuwa kisu ila naye malingo yake huku Jf hayakuendana na maisha yake halisi.
Amepotea saana aiseeh.

au shule ndiyo imembana?

au umemficha?
 
Akiii siku mtu akiniambia hivi naweza kufa. Mwenyewe najiona queen (natania jamani) mara paap mtu aniambie sura yangu mbaya.
Naogopa kumsema mtu kwa sura yake saana naona kama namdhalilisha.

Mfano kama nimekutana na mwanamke humu hata kama nimboovu...akinitumia picha namsifia tena saana.

Hakuna jambo mbaya kama kumwqmbia mtu u mbaya.

Itamuuma.
 
Hapo hata mimi naungana na mtoa mada. Kwanini uwekw avatar ya kuvutia wakati hufanani nayo hata kidogo. Halafu ukianza kuponda wanaume sasa. Watu wakiangalia avatar na majigambo wanajua hiki kisu. Kumbe panga butu
Nadhani ww ni mmoja y wachache walionielew. Majigambo hayafai
 
Naogopa kumsema mtu kwa sura yake saana naona kama namdhalilisha.

Mfano kama nimekutana na mwanamke humu hata kama nimboovu...akinitumia picha namsifia tena saana.

Hakuna jambo mbaya kama kumwqmbia mtu u mbaya.

Itamuuma.
Ofcourse si busara kumuongelea mtu usoni kuwa ye ni hajakuvutia, maana kiuhalisia amna mtu mbaya!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…