Mbona huku kuna watoto mkuu? visu hatari wanavyolipa hawakopeshi.
Hapana wewe ni supaaa nafikiri utakuwa ulimtumia yuleee wa kufukuza nzi!!!Miss black ndo nani tena? Au mimi mkuu?
Wacha we!Msichojua ni kuwa ID za kike nyingi ambazo ni maarufu wengi wao ni manungaembe sura mbovu maumbo kama biringanya matumbo yamening'inia mpaka yameziba kinena cha bibi miguu fito
Kuna mmoja maarufu sana humu ni shapeless balaa ana pasi ya adabu lakini anavyojishebedua
Maarufu wengi humu ni magarasa ukitaka vyombo tafuta ID zisizo maarufu hakika utafurahi lakini maarufu utakutana na midume myenzio yenye k
Haha...nakusalimu coco.
Ungeeleza zaidi ilikuwaje
Ndio mimi ndugu mtazamaji sasa, sijawahi pata shaka na wazigua
Nimekuelewa unachomanisha ila utata unaibuka pale ambapo mtu huyo ni mtu wa kuponda wanaume mara wako hivi, utasikia mara hapendi wafupi mara wa aina fulan au hadhi fulani kwahyo unapoenda kukutana nae unaenda kwa matarajio ya kukutana na bonge la mwanamke mwenye IQ kubwa kumbe daah acha niishie hapa
Wala sitohitaji kuonana na jinsia ya kike kutoka mtandaoni kama mazoea yaishie humu basi.
Akikutajia usiache kunitag wakwetu mie napika hukuKwahiyo mkuu jina utatutajia au niende tu nikapike?
Akii nimeshangaa mwanamke mwenzetu unatupondajw kwa sauti hivi. Solee kukufananisha na mwanaume
Avator kama zenu ndio zinadanganya vijana kumbe uhalisia duuuh
hahahahahhahaIla kama ni mke ni mzuri maana humo ndani watoto watakuwa hawasumbui kula kabisaaaa
Ahaaahaaa.....sindano si sindano, dozi si dozi!
Bidada umeua!
Hapana wewe ni supaaa nafikiri utakuwa ulimtumia yuleee wa kufukuza nzi!!!
DooooooooohMsichojua ni kuwa ID za kike nyingi ambazo ni maarufu wengi wao ni manungaembe sura mbovu maumbo kama biringanya matumbo yamening'inia mpaka yameziba kinena cha bibi miguu fito
Kuna mmoja maarufu sana humu ni shapeless balaa ana pasi ya adabu lakini anavyojishebedua
Maarufu wengi humu ni magarasa ukitaka vyombo tafuta ID zisizo maarufu hakika utafurahi lakini maarufu utakutana na midume myenzio yenye k
Itakuwa tu wewe msomaji ulivoamua kumtafsiri kichwani mkuu.shida wanajifanya sanaa viwango
Akikutajia usiache kunitag wakwetu mie napika huku
Ndo nashangaa atapigwa life banHayo siyajui nilikujibu ulivyoandika unataka kuweka na picha zakee. Kumbe mnajuana muda mkuu sasa mbona unataka kuweka picha zake?
Eeeeh Lahaulaaa!Msichojua ni kuwa ID za kike nyingi ambazo ni maarufu wengi wao ni manungaembe sura mbovu maumbo kama biringanya matumbo yamening'inia mpaka yameziba kinena cha bibi miguu fito
Kuna mmoja maarufu sana humu ni shapeless balaa ana pasi ya adabu lakini anavyojishebedua
Maarufu wengi humu ni magarasa ukitaka vyombo tafuta ID zisizo maarufu hakika utafurahi lakini maarufu utakutana na midume myenzio yenye k
Si unajua ukweli ukiambiwa na mtu ulietegemea awe upande wako unavyochoma? Ndo maana nikakuhisi hivyo.Wanaume huongea uhalisia sio hadithi za abunuasi
Nasema uhalisia sio porojo ndo maana unashangaa
Mi ni ke