Ni kweli sasa wewe unajijengea imagination zako inategemea nini hapo. Wengi huwa na imagination za kuwa bilionea ka bilgate ila in real sense hawawezi kufikaunakuta mtu anampenda mtu kutokana na comment au posthapa lazm uhumie kinyama
Hahahaha, asee hii Kali
Msichojua ni kuwa ID za kike nyingi ambazo ni maarufu wengi wao ni manungaembe sura mbovu maumbo kama biringanya matumbo yamening'inia mpaka yameziba kinena cha bibi miguu fito
Kuna mmoja maarufu sana humu ni shapeless balaa ana pasi ya adabu lakini anavyojishebedua
Maarufu wengi humu ni magarasa ukitaka vyombo tafuta ID zisizo maarufu hakika utafurahi lakini maarufu utakutana na midume myenzio yenye k
Vipi Lakini Boss wangu!
Mwandiko mbona wa kiume halafu ID ya kike?
Ila kama ni mke ni mzuri maana humo ndani watoto watakuwa hawasumbui kula kabisaaaaSura ya kumtishia mtoto ale bila kelele, ha ha ha ha! Umenkumbusha mbali sana
Shauri zenu mnahadaika na umaarufu mwanamke mzuri hajitangazi hutulia na kusubiri asifiwe sio kujiweka kimbelembele
Hahahaha, Rafiki mie sipo huko ,ila nimekuelewa vzrShauri zenu mnahadaika na umaarufu mwanamke mzuri hajitangazi hutulia na kusubiri asifiwe sio kujiweka kimbelembele
AhaaahaaaMsichojua ni kuwa ID za kike nyingi ambazo ni maarufu wengi wao ni manungaembe sura mbovu maumbo kama biringanya matumbo yamening'inia mpaka yameziba kinena cha bibi miguu fito
Kuna mmoja maarufu sana humu ni shapeless balaa ana pasi ya adabu lakini anavyojishebedua
Maarufu wengi humu ni magarasa ukitaka vyombo tafuta ID zisizo maarufu hakika utafurahi lakini maarufu utakutana na midume myenzio yenye k
Jike la maana wewe unasubiri mzee mama
Eeeeh aiseee !kuna Yule anajiita Madame B daah aseee .ukija kumwona daaah waweza kimbia
Mbona huku kuna watoto mkuu? visu hatari wanavyolipa hawakopeshi.Ha ha ha ha kwahio we ulivyoona jina cutelicious na avatar ya christina milian ukajua mtoto kisu au sio? Humu baadhi ya wachumba ni jau hadi kidume unaweza mkimbiza kwa muonekano yani! wengi wana mikwara na avatar za mastaa na mizigo mizigo hivi,
nimefahamiana na Madame B kabla jf hujajiunga Wala yeye hajajiungaPicha yake ya nini wakati anajiwekaga mwenyewe avatar?.. Sema saa zingine huo uviwango mnautafsiri nyie tu.
Inategemea na mtazamaji
Wala sitohitaji kuonana na jinsia ya kike kutoka mtandaoni kama mazoea yaishie humu basi.Alietoa pesa bandia kauziwa cheni bandia.
kuchanika kwa jamvi sio mwisho wa maongezi mkuu. Umekata tamaa mapema sana. Kwanza ulijua unaenda kukutana na Priyanka Chopra au? Maana umeumia kweli kweli. Na wewe una mvuto kidogo au unataka tu kukutana na wanawake warembo?
Baada ya huu uzi unadhani uliekutana nae atajisikiaje umemulna ni mbaya? Maumivu mengine tubaki nayo tu mioyoni. Sasa unadhani kuna mwanamke mwingine huku atataka kuonana na weww ili aje kunangwa muonekane wake? Fikiri kabla hujatenda.
shida wanajifanya sanaa viwangoKwanini ukimbie mkuu, vtu vingine huwa ni changamsha genge Mimi husoma comments za MTU na kupata maarifa ya appearance, sijui nimuwazie yuko vzuri kiuchumi huwa siyapi nafasi
nimefahamiana na Madame B kabla jf hujajiunga Wala yeye hajajiunga