Majura: Waziri Mhagama alisema wasipobadilisha kikokotoo Mifuko ya Jamii inaweza kufa au haitakuwa sustainable!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,968
141,976
Naibu Katibu mkuu wa Tucta ndugu Majura amesema wakati wanajadili kanuni za sheria ya mafao Waziri Jenister Mhagama alionyesha wasiwasi wake kwamba kama kikokotoo cha mafao hakitarekebishwa basi mifuko hiyo itakufa hivyo ni lazima ziwepo kanuni zitakazomantain sustainability ya mifuko hiyo.

Johnthebaptist najiuliza ni nini kinachoweza kuiua mifuko ya kijamii ilhali wanachama wanachangia kila uchwao?!!

Source ITV!
 
Kama jiwe anachukua hela humo na kununua vyuma chakavu na kujenga reli unategemea hii mifuko iweze kuwa sustainable?

Wao wenyewe wamekurupuka kuwekeza bila akili kwenye mijengo ambayo haina watu wakupanga. Mfano mafao house pale kanisani Arusha jengo la NSSF ni floor kadhaa tu za chini zinatumika. Zaidi ya nusu ya jengo ni makazi ya vumbi tu.
 
Njoo na hapa Morogoro Opp. Municipal Office!
Kama jiwe anachukua hela humo na kununua vyuma chakavu na kujenga reli unategemea hii mifuko iweze kuwa sustainable?

Wao wenyewe wamekurupuka kuwekeza bila akili kwenye mijengo ambayo haina watu wakupanga. Mfano mafao house pale kanisani Arusha jengo la NSSF ni floor kadhaa tu za chini zinatumika. Zaidi ya nusu ya jengo ni makazi ya vumbi tu.
 
Mkuu na wewe unatamani kupiga vigelegele?...........karibu lumumba!
Hapana aisee! Sitamani na sipo tayari
tapatalk_1540316933381.jpeg
 
Hahahaa....... Hapo Ufipa hautolewi ubongo bali unawekewa wa Mbowe na kwahiyo automatically wa kwako haufanyi kazi tena!
Sasa kama mtu anabaki na ubongo wake halafu anaongezewa wa mtu mwingine huoni kwamba amebaki na utambuzi kuliko wewe unayenyofolewa ubongo wako na kubakia kama roboti, yaani unafanyishwa kazi remotely hakuna kutafakari hata kwa sekunde1.

Halafu nikukumbushe jambo dogo tu ulielewe pamoja na wenzako, si kila asiye lumumba yupo ufipa. Mmetengeneza mazingira ya kupingwa na kila mwenye akili huru na timamu.
 
Serikali imekopa ile mifuko inaelekea kufa kabisa. Hakuna hela.

Hela zote wamepeleka kwenye miradi isiyo na akili na hela nyingine serikali imekataa kulipa kwa maksudi.

Ni ajabu kweli kweli.
Zile za awamu ya 4 hazikukopwa bali baada ya makato serikali haikuziwakilisha!
 
Kaazi kwelikweli. Yaani huyu Mamaa Mungu kama yupo atateseka sana kabla ya kuaga hii dunia. Yuko tayari kufanyia Watanzania 55Milion chochote ili amchekeshe mkuu bila kujali madhara yake. Hata sheria ya kuua demokrasia utaona atakavyotoa mimate na macho yake. Ila Mungu yupo.
 
Zile za awamu ya 4 hazikukopwa bali baada ya makato serikali haikuziwakilisha!
Kina zile zilikopwa kujenga UDOM, zingine kujenga makao makuu ya usalama,nyingine kujenga Daraja la Nyerere, nyingine kujenga majengo ambayo hayana wapangaji hadi sasa na miradi ya ajabu ajabu ile ya Dau, kiwanja kinanunulia mara 800 ya bei ya kawaida.

Hii mifuko haina hela
 
Kina zile zilikopwa kujenga UDOM, zingine kujenga makao makuu ya usalama,nyingine kujenga Daraja la Nyerere, nyingine kujenga majengo ambayo hayana wapangaji hadi sasa na miradi ya ajabu ajabu ile ya Dau, kiwanja kinanunulia mara 800 ya bei ya kawaida.

Hii mifuko haina hela
Awamu ya 4 hii mifuko ilichezewa sana, nakumbuka pia yule mjumbe wa kamati kuu ya Chadema alivyokwapua milioni 50 za PPF kunako awamu ya 3!
 
Naibu Katibu mkuu wa Tucta ndugu Majura amesema wakati wanajadili kanuni za sheria ya mafao Waziri Jenister Mhagama alionyesha wasiwasi wake kwamba kama kikokotoo cha mafao hakitarekebishwa basi mifuko hiyo itakufa hivyo ni lazima ziwepo kanuni zitakazomantain sustainability ya mifuko hiyo.

Johnthebaptist najiuliza ni nini kinachoweza kuiua mifuko ya kijamii ilhali wanachama wanachangia kila uchwao?!!

Source ITV!
CCM imedhamiria kuwauwa wastaafu kwa ugonjwa wa moyo na sonono.
 
Back
Top Bottom