Majukumu ya mke - please share your opinion

Birdman

Member
Oct 31, 2012
79
24
Heshima zenu jamani, post ya kwanza hii, waungwana leteni busara zenu.
Katika jamii yetu ya sasa wanaume wengi wanaugulia kimya kimya kwa ajili ya mapungufu katika ndoa zao (zetu). Mara tu mama anapojifungua, watoto waja na baraka zao, kisha house maid na balaa zake. Mwisho wa mahaba - ofkoz mpaka watoto wakue wahamie chumbani kwao, na mwisho wa huduma za mama. Wanaume wavumilivu, lakini, kuna yale yasiyotakiwa. Msichana wa kazi anaruhusiwa kweli kuandaa chakula cha baba mwenye nyumba wakati mama yupo?? Ni yapi hasa wandugu - mchango wenu sasa, yasiyokubalika katika jamii ya kiafrika kumhudumia mzee wa nyumba. Mi nadhani kuuliza eti baba unakula nini leo, kuandaa chakula mezani, kutayarisha nguo za ndani, kuorodhesha mahitaji ya kila siku...jamani tafadhali changieni.
 
Tatizo Ni Kwa Wanaume,Walio Wengi Wanaamini Kuwa Mke Hasipowajibika, Basi Nyumba Italala!
Ni Vizuri Kusaidiana,Wala House Maid hana Umuhimu!

Mume Mwema,Hata Jizungusha Aonapo Nepi Za Mtoto Zina Uchafu!
SAIDIENI WAKE ZENU!!
Nanyi Wanawake,Kuweni Makini Na Mahouse Mads
 
-Kutimiza tendo la ndoa
-Kumhifadhia mali yake ikiwepo kuzitumia itakikanavyo
-Ulezi bora wenye maadili

Kufua na kupika sio kazi yangu...makucha yangu yenda saloon Mara 2 kwa mwezi itabidi msaada upatikane.
 
wajibu wa mke ni mmoja tu....tendo la ndoa....mengine yote yanafanywa in the name of love

halafu mwanaume unashindwa kuandaa hata nguo zako za ndani? Mkeo akiumwa tikatika utamwambia nyanyuka kitandani nipikie au niandalie nguo za ndani?

Maisha ya ndoa ni kusaidiana, na hakuna ndoa zenhe raha kama zile ambazo mume na mke wako bega kwa bega kusaidiana....

Kuhusu housegirl, kesho nitasoma vizuri ulichoandika nicomment tena....
 
Mie hausgelo wangu hata wa sasa ni MBIBI uyooo! Hata nikiolewa naendeleza wabibi tu!!!!!!!!! Sitaki ushindani!!!!!!
 
4 me my Preta is perfect, ananifanyia haya
1. Ananishauri
2. Ananisaidia ktk shughuli zangu zote za kiuchumi, kijamii
3.Ananiongoza Pale ninapofyatuka kwenye mstari
4. Anatengeneza daraja kati yangu na ndugu, jamaa na marafiki

kufua, kupika, Ku do, kutandika kitanda au kunizalia watoto si majukumu ya msingi, kozi kabla sijamtaabaruku kuwa wife hizo huduma nilikuwa najifanyia au nilikuwa nazipata hata kama kwa njia ambazo si halali!! Watoto majaliwa
 
Kwangu mimi wife kazi zake kubwa za lazima ni mbili tu
1. Kutanua miguu usiku

2. To worry about my meals(what & when) na kupika ni yeye tu
 
Wajibu mkubwa wa mke ni kutumua hela za mumewe kadri awezavyo. If there were no women, men wouldnt know what to do with their money before money kills them.
 
Wajibu mkubwa wa mke ni kutumua hela za mumewe kadri awezavyo. If there were no women, men wouldnt know what to do with their money before money kills them.

Mmmhhhh King'asti, huo ushauri wako.....kazi kweeli kweli.....
 
Back
Top Bottom