prof.mutunga
JF-Expert Member
- Apr 10, 2013
- 341
- 60
Mwanzoni tokea nimekuwa na mke wangu nlikuwa namtamani kila mda ila tokea last week hata akinigusa sihisi chochote je hili lasababishwa na nn?wakuu mana anajiskia vibaya as if mie nimepata mwingine tulkuwa tuki do kila siku but sku hiz umh!