Mapolomoko
JF-Expert Member
- Feb 16, 2013
- 1,751
- 422
Diwani viti maalum CHADEMA na aliye kuwa kampeni meneja wa mbunge MBASA, jumatano ya wiki iliyopita alikatwa mapanga na mmewe kwa ugomvi wa kifamilia hali yake ni mbaya sana kwani alikuwa hajitambui mpaka J'pili alipoanza kuongea japo kwa tabu sana.