Majonzi CHADEMA

Majonzi CHADEMA

Mapolomoko

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2013
Posts
1,751
Reaction score
422
Diwani viti maalum CHADEMA na aliye kuwa kampeni meneja wa mbunge MBASA, jumatano ya wiki iliyopita alikatwa mapanga na mmewe kwa ugomvi wa kifamilia hali yake ni mbaya sana kwani alikuwa hajitambui mpaka J'pili alipoanza kuongea japo kwa tabu sana.
 
Hayo siyo majonzi wewe! Mbona unatumia kalamu vibaya...akifa ndo unaandika hivyo..tumwombee apone..
 
Atapona Mungu ni mwema, ngoja nimwambie Nape aende akapige naye picha
 
Je Mumewe ni MAGAMBA?!!!

inasemekana tamaa za fedha za mke, ndiyo tatizo walikuwa wamepanga sasa wamejenga kwa pesahizo za udiwani mme alitaka yeye ndiye awe kilakitu kwa pesa ya mke amekuwa akimwambia anajidai kwazo
 
Hayo siyo majonzi wewe! Mbona unatumia kalamu vibaya...akifa ndo unaandika hivyo..tumwombee apone..

hali aliyokuwanayo nirehema za mngutu ndizo zilizosaidia kuwa hai kwani alikatwakatwa kichwani na shingoni
 
Huyo mume yuko ndani au bado hajakamatwa maana vyombo vyetu hivi!!
 
Diwani wa mkoa gani?
Huyo Mbasa aligombea Jimbo gani??
Anyway, pole Diwani.
 
Pole diwani, inasikitisha kuona ukatili dhidi ya mwanamke bado upo, na mbaya zaidi umemkuta mwakilishi wa wananchi ambae anawatete wanawake
 
Mungu amrudishie afya yake haraka akaendelee na kazi za ujenzi wa taifa
 
Kwa vile bado ukombozi wa Tanzania haujapatikana, naomba Mungu amponye haraka arudi vitani. Mungu tunakuomba, Amen
 
Back
Top Bottom