princemikazo
JF-Expert Member
- Jan 10, 2019
- 2,197
- 2,052
wakiwa wazima wa afya wanajifanya wanambwembwe na kujisifu kuwa wana mshiko, wakiugua wanajifanya kujishusha na kutuomba michango walala hoi. wasanii wa bongo vituko kama wa US tu,,,, GOFUNDME
Hivi lulu ile misaada aliitoa kweli au nguo aliuza baada ya kufulia?
Yule itakuwa aliuza kwa maslahi yake!Hivi lulu ile misaada aliitoa kweli au nguo aliuza baada ya kufulia?
GoFundMewakiwa wazima wa afya wanajifanya wanambwembwe na kujisifu kuwa wana mshiko, wakiugua wanajifanya kujishusha na kutuomba michango walala hoi. wasanii wa bongo vituko kama wa US tu,,,, GOFUNDME
Ghorofa amuuzie nani usawa huu mkuuNaomba nkuulize swali Numby.. Hivi ruge pamoja na kuwa tajiri wa kuogopwa leo hana hata nyumba ya kisasa au hata ghorofa aliuze badala ya kutembeza bakuli jamani.. Mi hata sielewi
Sent using Jamii Forums mobile app
Inastaajabisha ... Maisha ya mjini yamejaa maigizo kama Kaole .......wakiwa wazima wa afya wanajifanya wanambwembwe na kujisifu kuwa wana mshiko, wakiugua wanajifanya kujishusha na kutuomba michango walala hoi. wasanii wa bongo vituko kama wa US tu,,,, GOFUNDME
Ni fisadi tuuNaomba nkuulize swali Numby.. Hivi ruge pamoja na kuwa tajiri wa kuogopwa leo hana hata nyumba ya kisasa au hata ghorofa aliuze badala ya kutembeza bakuli jamani.. Mi hata sielewi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sinilisikia kuwa ana HISA 3 mzuka ... ina maana mihela yote ile wanayo jifanya kugawa gawa kwa washindi " Ameshindwa kuchukua hata Faida ya walichokuwa wanakiingiza kwaajili ya kumpatia matibabu kweli !?
Usilolijua ni sawa na usiku wa kiza keshatumia Zaidi ya million 600Naomba nkuulize swali Numby.. Hivi ruge pamoja na kuwa tajiri wa kuogopwa leo hana hata nyumba ya kisasa au hata ghorofa aliuze badala ya kutembeza bakuli jamani.. Mi hata sielewi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata nyumba hana,kapanga.Sijui pesa zake alikuwa anatumia kuhonga !.Naomba nkuulize swali Numby.. Hivi ruge pamoja na kuwa tajiri wa kuogopwa leo hana hata nyumba ya kisasa au hata ghorofa aliuze badala ya kutembeza bakuli jamani.. Mi hata sielewi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo amesha wekewa 10% yakeMajjizo anaitwa ili kuhimiza michango,