Majizzo Ndani ya Clouds360 on Clouds Tv February 20

princemikazo

JF-Expert Member
Jan 10, 2019
2,197
2,051
Founder na CEO wa E-FM na TV E,Dj Majay aka Majizzo February 20 atakua katika kipindi cha asubuhi kinachoitwa Clouds360 kikiongozwa na Babie Kabae,Sam Sasali pamoja na Hassan Ngoma ndani ya Clouds Tv,,Swali je.
.anaenda kuzungumzia nini?kama unajua jibu kaa nalo, @ChaliiYaKijengeJuu.
 

Attachments

  • Majizzo.jpg
    Majizzo.jpg
    20.5 KB · Views: 66
wakiwa wazima wa afya wanajifanya wanambwembwe na kujisifu kuwa wana mshiko, wakiugua wanajifanya kujishusha na kutuomba michango walala hoi. wasanii wa bongo vituko kama wa US tu,,,, GOFUNDME


😂😂😂
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom