kuduman201036
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 4,058
- 2,182
nimemuuliza yeye ni mfanyakazi gani au yye ni mwl? angalia question mark sijaandika kwa ubaya just as questionKwani mwalimu kakukosea nini?
nimemuuliza yeye ni mfanyakazi gani au yye ni mwl? angalia question mark sijaandika kwa ubaya just as questionKwani mwalimu kakukosea nini?
We ni mmalila au jina tu mkuu?Mapenz ni hisia juu ya mtu husika so kama unampenda na kumthamin huna haja ya kuona aibu wanavyomcheka mpenzio amin kuna cku hao hao watakusifu na huyo mpenzio na wataona wivu kabisa believe me my sister
Ndio Mm ni mmalila mkuuWe ni mmalila au jina tu mkuu?
Poleni na mihangaiko wana JF.
Naomba ushauri nifanyeje hapa nilipopanga majirani zangu wanamcheka mpenzi wangu walikuwa ndani wakicheka huku housegirl akiwa mlangoni nikaona housegirl naye anacheka huku akijibu eeh kaja aliponiona mimi akafunga mlango.
Mimi nilihisi wanacheka jinsi anavyo vaa siku za kazi. Kuanzia nguo hadi viatu upande wa viatu anavaa malapa ni kama ya kuogea sio kuvaa kwenda mjini. Upande wa mashati mara yamepauka au kua na tobo kabisa.
Mimi ni mtumishi serikalini yeye anauza duka la ndugu yake na kukaa kwa ndugu yake anadai ni kaka yake. Mimi pia kwa upande wangu nilishamuonya juu ya huo uvaaji kwa sababu nipo njiani na watumishi wenzangu nikikutana nae napita kama simjui yaani nashindwa hata kumtambulisha kuwa huyu ni shemeji yenu.
Wakati tunaanza mahusiano nilimpenda sana kiasi kwamba nikachukua hela kidogo nikaenda kumnunulia shati na tishirt nikampa hakuyachukua mpaka nilipo mlazimisha na hajawahi kuvaa hata siku moja. Mimi nilichohisi huko anakokaa wanamkataza kuvaa nguo ambayo hajanunuliwa nikamuuliza kwa nini havai hakunipa sababu inayoeleweka.
Ila siku za jumapili huvaa nguo nzuri na viatu vizuri hupendeza sana hadi nafurahi. Kuna kipindi nikaamua awe anakuja jumapili tu. Kumpenda nampenda lakini nashindwa nifanyeje kuhusu hili.
sikujua km leo nikacheka hivi lAu mwambie asiwe anakuja uwe unaenda wewe huko kwake.
Mi ningekuwa wewe ningeenda kwake siku moja nikapiga moto nguo zake zote za ovyo ovyo ili abakiwe na hizo nzuri tuone kama hatazivaa
operation tokomeza marapurapuYeahhhh maana hakuna namna nyingine![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
operation tokomeza marapurapu
Mara zote mnatuona wanawake wachafu......huyo ni mwanaume na aliyeleta malalamiko ni mwanamke........Nguo zilizo chanika tena?Huyu kweli gagulo lake halitoi uvundo mkuu?
Sidhani kama anafua chupi huyu ehehehe
Ata usiumie moyo. Ilimradi moyo wako umeridhika kuwa na amani. Huyo ni mpenzi wako sio mpenzi wa majirani zako. Be ureself. Yawezekana wao wanamcheka lakini hawajui kaka/ baba wa watu kabeba nin. Pengine wanaona hana hela lakini hawajui hela inapatokana duniani. Leo wanamcheka kesho watapatwa na shida na pengine watashindwa ata sehemu ya kukopa hale mwisho wa siku watakuja kwakwo. Mbona kwenye jamii yanatokea sanaa tu. Mtu anakipato kikubwa na akipata shida anaenda kwa mwenye kipata kidogo. Ushauri wangu ni " sikiliza moyo wako unataka nini"Poleni na mihangaiko wana JF.
Naomba ushauri nifanyeje hapa nilipopanga majirani zangu wanamcheka mpenzi wangu walikuwa ndani wakicheka huku housegirl akiwa mlangoni nikaona housegirl naye anacheka huku akijibu eeh kaja aliponiona mimi akafunga mlango.
Mimi nilihisi wanacheka jinsi anavyo vaa siku za kazi. Kuanzia nguo hadi viatu upande wa viatu anavaa malapa ni kama ya kuogea sio kuvaa kwenda mjini. Upande wa mashati mara yamepauka au kua na tobo kabisa.
Mimi ni mtumishi serikalini yeye anauza duka la ndugu yake na kukaa kwa ndugu yake anadai ni kaka yake. Mimi pia kwa upande wangu nilishamuonya juu ya huo uvaaji kwa sababu nipo njiani na watumishi wenzangu nikikutana nae napita kama simjui yaani nashindwa hata kumtambulisha kuwa huyu ni shemeji yenu.
Wakati tunaanza mahusiano nilimpenda sana kiasi kwamba nikachukua hela kidogo nikaenda kumnunulia shati na tishirt nikampa hakuyachukua mpaka nilipo mlazimisha na hajawahi kuvaa hata siku moja. Mimi nilichohisi huko anakokaa wanamkataza kuvaa nguo ambayo hajanunuliwa nikamuuliza kwa nini havai hakunipa sababu inayoeleweka.
Ila siku za jumapili huvaa nguo nzuri na viatu vizuri hupendeza sana hadi nafurahi. Kuna kipindi nikaamua awe anakuja jumapili tu. Kumpenda nampenda lakini nashindwa nifanyeje kuhusu hili.
Hapana sijawahi waona wanawake wachafu,lkn hii imezidi dada yaani hadi ndala zimekatika eheheheheMara zote mnatuona wanawake wachafu......huyo ni mwanaume na aliyeleta malalamiko ni mwanamke........
Lakini ni mwanaume huyoHapana sijawahi waona wanawake wachafu,lkn hii imezidi dada yaani hadi ndala zimekatika ehehehehe