Kufilisika kuna sura nyingi wajameni. Kama vipi waliite Uhuru B kwani sasa wanatia kinyaa kuwalamba CCM miguu
Kwani uongo hakujachafuka? Huu mnyukano wa kudhalilisha mtandaaoni si ni viongozi wa chadema
hicho kidole cha mheshimiwa mmmh
Lilikwisha oza ilo ,lilikuwa zamani enzi hizo yupo mzee Sammy Makila,Ndimara na Bossi Mwenyewe Mzee Nyaulawa akiwa hai japo alikuwa mwanaMagamba alikuwa busineman mzuri,sasa hivi sijui hata website hawana wanahangaika na blog ,toilet paper inathamani kuliko ili gazeti la Majira.Hilo nalo gazeti? Ni afadhali ununue Uhuru au Habari Leo kuliko Majira. Hamna kitu kabisa na ninasikia waandishi wake njaa kali, hawana hata mishahara. Asilimia 90 ya waandishi wake ni makanjanja.