Majipu TCU lini yatumbuliwe?

Majipu TCU lini yatumbuliwe?

Leo tarehe 05/10/2016 ni sku ambayo tumeisubil tukiskita post za diploma holders walio apply degree ztatoka pamoja na second round ila bado kupo kimya jaman tume mpya ya tcu ilioundwa ni sawa na kazi bure tuView attachment 412270 Mh Jpm usipokazia hili mwakan 2020 jiandae kupewa kula na ndg zako tu
hv ilo tangazo la TCU kutoa tarh 5 mmeliona wapi? source please
 
yaaan waha TCU NA NACTE wamenifanya nitegeshe alarm saa 6.....wajinga sana hawa watu
 
yaaan hawa TCU NA NACTE wamenifanya nitegeshe alarm saa 6.....wajinga sana hawa watu
 
Tarehe tano inaisha saa 5:59 usiku tusubiri ikipita muda huo kwel itakuwa shida. TUWE WAVUMILIVU.
 
Ngoja ngoja yaumiza matumbo, haka kausemi kamechukua nafasi yake.
 
Kwani mliambiwa post zinatoka Leo??
sasa kama wao hawajasema unafikili tutafanyeje.....ndio kama hivi tuna jipangia siku na saa tunajifaliji siku inakwenda...kuliko kukaa kimya kama wafu..
 
Mbona Mnaharaka Mumeambiwa Post Zenu Zitatoka At Time t kimwendokasi zaidi
 
Wale mnaosema saa sita mchana mungu anawaona saiz naiweka coment ni 12:51pm ila mbona bado jaman au nyie ndio mawakala wa unyanyasaji na upetezaj wa mda na wakichelewa leo kesho naanza safar ya kuwafuata huko kwao mi mlokole ila wanasabisha natukana na ni wasen.......ge!
 
SAA 12:00pm ni saa sita mchana mkuu
1475662848549.png
last seen 1:25 huwa spend ujinga mimi
 
Tanzania kila kitu kinafanywa kienyejienyeji na kimazoea tu
Poleni masela
 
Back
Top Bottom