Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,640
- 697,940
- Thread starter
- #121
hii kali linataka bia... Hivi kwanini huwa yanajikweza sana haya madubwana?Ni kweli kabisa.
Binadamu ana uwezo kupita Jini lolote.
Eti Jini linaingia ndani ta mtu halafu linasema lipewe, damu ya kuku, au uvumba, au ubani.
Kwani lenyewe linaonekana halina uwezo wa kufuga kuku kabisa.
Siku moja ati Jini linasema linataka lipewe Bia.
Tena Safari Laga, nilicheka nusu nianguke.
Jini linataka liolewe na Binadamu na lioe Binadamu.
Binadamu kumnyenyeke la Jini ni kujishusha thamani.
Ndio maana ukiliendea ili likutatulie shida zako linakupa masharti kibao kwakuwa linakuona ni Mpumbavu wa kutupwa.