ndandawamalenja
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 472
- 347
Kuna mshkaji anasema kuwa kitu chochote chenye majina mengi kina madhara sana. Mfano gongo na bange!!!
Dah kweli mabinti wana kazi,wamepewa majina kibao
1.mademu
2.mashori
3.mivinje
4.watoto
5.kishtobe
6...................
Na wewe tupia hapo
Anzisha thread nyingine, 'mkata nyasi'mmengaika sana kujua majina ya wanawake wanavyoitwa je mbona mmesahau majina ya wanaume au nyie mnajitoa nini?
kama kuyataja na tuyataje kuliko kulalia upande mmoja mmeniuzi hasa pono
fastjet