Chuo mnaenda mwezi wakumi na moja,penda kusikiliza habari na kuzulu tovuti husika..kuliko kuliko kutegemea ripot zako kwenye vijiwe vya kahawa na magenge ya jamii forum
jamaa anachosema kinaukwel vyuo ving vinafunguliwa kuanzia tarehe 2 november leo n tarehe 2 oct watu kiuchumi hawako vzuri ni bora wangetoa mapema ili watu waweze kujiandaa
Mmmh...mleta mada, mara ya mwisho kutumia email yako lini!?? Maana kuna baadhi ya vyuo wametuma list ya majina via email..mfano tumain university, pale mwenge...
Mzumbe,, moshi ushirika wametuma???