sizitaki mbichi hiziakhhhhhhhhhhhhhh! Kwanza bora ata nimeikosa hii kazi kwani baada ya kushauriana na familia walikataa kwani ni kazi ya kinoko na inabidi uwe mkuda ndo utafiti apa! Kazi gani ya kufatilia maisha ya watu shaurini yenu mtafanyiziwa kitu mbaya...hongereni pccb kwa kutochagua jina langu kwani hiyo kazi ya investigatio officer siitaki tena
akhhhhhhhhhhhhhh! kwanza bora ata nimeikosa hii kazi kwani baada ya kushauriana na familia walikataa kwani ni kazi ya kinoko na inabidi uwe mkuda ndo utafiti apa! kazi gani ya kufatilia maisha ya watu shaurini yenu mtafanyiziwa kitu mbaya...Hongereni PCCB kwa kutochagua jina langu kwani hiyo kazi ya investigation officer siitaki tena
Dah yule jamaa atarudisha pesa yangu k"mmake
Kuwa na Hofu ya Mungu usitukane,imeandikwa mpende jirani yako kama nafsi yakoAh! K'make.. Wamenitosa!
akhhhhhhhhhhhhhh! kwanza bora ata nimeikosa hii kazi kwani baada ya kushauriana na familia walikataa kwani ni kazi ya kinoko na inabidi uwe mkuda ndo utafiti apa! kazi gani ya kufatilia maisha ya watu shaurini yenu mtafanyiziwa kitu mbaya...Hongereni PCCB kwa kutochagua jina langu kwani hiyo kazi ya investigation officer siitaki tena
Dah yule jamaa atarudisha pesa yangu k"mmake
Usijali hiyo imetokea kwa wengi hivyo nenda tuu kwenye interview
wangese hawa nahisi kwenye investigation officer wamechukua wtu wa law tupu.Wakuu msilalamike kama uliomba investigation officer na course yako haiku orotheshwa pale kwenye tangazo la maombi, hata uwe una first class uwezi ukaitwa.
bora hata ww umeitwa.Wadau msaada hapa.....mie jina nimeliona ila si ktk category niliyoombeaa(ya LAW ila limetokelezea ktk humana resource management)...nimemuuliza mtu wa utumishi kaniambia niende kwenye interview labda eti hulo ndo ninakofiti(yaani HRM).Huku jamani si kufanana kwa majina au na niende kwenye interview au?..daah njaa panda niko!..maoni wajameni?
Ah! K'make.. Wamenitosa!
dah hata mimi...haki ya Mungu najichukia....
daaaah! mambo ya KISENGE-rema haya! walete tu hiyo DUAL CITIZENSHIP!
Wamenitosa ayaaaa!
Mi bado kimavi kinanisonga.... Nani jaman anaweza nisaidia.
Ni kwel CPO au cjaangalia vizur
Dah yule jamaa atarudisha pesa yangu k"mmake
Dah maskin. safari hii tena simo.
hii course nilisoma ya nn?
naanzisha kampuni ya ulinzi.
akhhhhhhhhhhhhhh! kwanza bora ata nimeikosa hii kazi kwani baada ya kushauriana na familia walikataa kwani ni kazi ya kinoko na inabidi uwe mkuda ndo utafiti apa! kazi gani ya kufatilia maisha ya watu shaurini yenu mtafanyiziwa kitu mbaya...Hongereni PCCB kwa kutochagua jina langu kwani hiyo kazi ya investigation officer siitaki tena
wangese hawa nahisi kwenye investigation officer wamechukua wtu wa law tupu.