Majina ya Wahuni

Majina ya Wahuni

Asalaaam aleykum wakuu.
Allah ni mwena ni wekend na sikukuu pia kwa waislaam wote.

Mada hii sawa na kichwa hapo juu.

Nimeishi mitaa mbalimbali hapa nchini, nilichogudua ni kwamba karibia wahuni wote wa zama hizo na zama hizi hitumia majina bandia yanayofanana.

Mfano mdogo tu, anzia hapo mtaani kwenu, mtaa jirani ama muhuni yeyote unae mfahamu, katika wahuni 10 hakosekani mmoja mwenye jina miongoni mwa orodha hii:

1. Dula
2.Roja
3.J4
4.Msodoki
5.Pablo
6 Toshi
7.Tolu
8.Waiti
9.Zungu
10.Kiwi
11.Putini
13.Osama
15. Chidi
16. Bigi
17.Tupaki

Ongesea mengine ..........
Nauhusiwa kuwataja na Kamati Kuu ya chama fulani?🤣
 
Asalaaam aleykum wakuu.
Allah ni mwena ni wekend na sikukuu pia kwa waislaam wote.

Mada hii sawa na kichwa hapo juu.

Nimeishi mitaa mbalimbali hapa nchini, nilichogudua ni kwamba karibia wahuni wote wa zama hizo na zama hizi hitumia majina bandia yanayofanana.

Mfano mdogo tu, anzia hapo mtaani kwenu, mtaa jirani ama muhuni yeyote unae mfahamu, katika wahuni 10 hakosekani mmoja mwenye jina miongoni mwa orodha hii:

1. Dula
2.Roja
3.J4
4.Msodoki
5.Pablo
6 Toshi
7.Tolu
8.Waiti
9.Zungu
10.Kiwi
11.Putini
13.Osama
15. Chidi
16. Bigi
17.Tupaki

Ongesea mengine ..........
Sio kweli.
 
Asalaaam aleykum wakuu.
Allah ni mwena ni wekend na sikukuu pia kwa waislaam wote.

Mada hii sawa na kichwa hapo juu.

Nimeishi mitaa mbalimbali hapa nchini, nilichogudua ni kwamba karibia wahuni wote wa zama hizo na zama hizi hitumia majina bandia yanayofanana.

Mfano mdogo tu, anzia hapo mtaani kwenu, mtaa jirani ama muhuni yeyote unae mfahamu, katika wahuni 10 hakosekani mmoja mwenye jina miongoni mwa orodha hii:

1. Dula
2.Roja
3.J4
4.Msodoki
5.Pablo
6 Toshi
7.Tolu
8.Waiti
9.Zungu
10.Kiwi
11.Putini
13.Osama
15. Chidi
16. Bigi
17.Tupaki

Ongesea mengine ..........
Mbwiga
 
kuna vikundi vilitamba sana miaka fulani

●Askari wa motoni
●Majasusi
●atufagi un-deadable
●Kula urembo
●Makaburi matuta
●sura ya mbuzi
●mama yako demu wetu
●sisi sio kundi

2007

kula urembo lilikuwa ni kundi hatari
 
kuna vikundi vilitamba sana miaka fulani

●Askari wa motoni
●Majasusi
●atufagi un-deadable
●Kula urembo
●Makaburi matuta
●sura ya mbuzi
●mama yako demu wetu
●sisi sio kundi

2007

kula urembo lilikuwa ni kundi hatari
Komando Yoso

Nyanyapuza

Enzi hizo siku kukiwa na mchiliku lazima zipigwe na damu zimwagike
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ngoja nitaje majina ya bandia ya kitaani kwenu kwanza kabisaa huu mtaa ninaoishi vijana wengi ( tunatumia majina bandia ) sijui kwanini
  • mmea
  • monster
  • sungura
  • shundu
  • bung'aloo
  • dogi a.k.a niger j
  • kb
  • kidari
  • kichenge
  • chidi
  • ibirisi ( shacks )
  • kitulisa
  • uncle kidevu
  • kido
  • mc ngenge
  • mnefiri
  • nyama za kware
  • rasi
  • utiti
-chaka
  • dan babu
  • dacho
  • cdk
  • nyandu
  • montana
  • rama chogo
  • shacks
-zombie
-mkinga
  • bongo
  • chopa
  • bizzo
  • itona
  • kobi
  • pisi kali ( huyu ni demu ila ni mgumu asikwambie mtu )
  • masamurai
  • mbogo ( aka mheshimiwa )
  • mtundu
  • brea
-kido
-captain
  • simbamnyama aka fogo
  • kifrini
Eehhh aisee majina ni mengi na mbaya zaidi hata mgeni akija na kumuuliza mtu kwa jina lake la kiserikali basi uwezekano wa kumpata muhusika ni mdogo sana kama atakuwa hayajui hayo majina waliyojibatiza wahusika hapo juu..
 
Hapo namba 8 wanakuwa malaya sana warembo wa mtaa mzima ni mali yao 😄 Full kama T.I wa mamtoni 😄
 
ngoja nitaje majina ya bandia ya kitaani kwenu kwanza kabisaa huu mtaa ninaoishi vijana wengi ( tunatumia majina bandia ) sijui kwanini
  • mmea
  • monster
  • sungura
  • shundu
  • bung'aloo
  • dogi a.k.a niger j
  • kb
  • kidari
  • kichenge
  • chidi
  • ibirisi ( shacks )
  • kitulisa
  • uncle kidevu
  • kido
  • mc ngenge
  • mnefiri
  • nyama za kware
  • rasi
  • utiti
-chaka
  • dan babu
  • dacho
  • cdk
  • nyandu
  • montana
  • rama chogo
  • shacks
-zombie
-mkinga
  • bongo
  • chopa
  • bizzo
  • itona
  • kobi
  • pisi kali ( huyu ni demu ila ni mgumu asikwambie mtu )
  • masamurai
  • mbogo ( aka mheshimiwa )
  • mtundu
  • brea
-kido
-captain
  • simbamnyama aka fogo
  • kifrini
Eehhh aisee majina ni mengi na mbaya zaidi hata mgeni akija na kumuuliza mtu kwa jina lake la kiserikali basi uwezekano wa kumpata muhusika ni mdogo sana kama atakuwa hayajui hayo majina waliyojibatiza wahusika hapo juu..
Hii mbona kama unga limitedi?
 
Back
Top Bottom